Mikopo Chefuchefu
JF-Expert Member
- May 15, 2017
- 3,373
- 6,795
Sikulaumu.. Itakuwa ulifundishwa hesabu na mwalimu wa Vodafasta!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wewe kule shule ulikuwa unatoroka kipindi cha hesabu leo unatufanyia hesabu za kwenye pool.Serikali ya Tanzania ikisema ifanye lockdown na kutoa milioni 1 kwa kila Mtanzania kwaajili ya kujikimu kwa mwezi 1 gharama itakuwa ni milioni 55 ambayo kwa mapato ya serikali ni hela inayoingia ndani ya dakika 1 naomba serikali ifanyie kazi hili wazo katika kipindi hiki cha janga la Corona kama nchi nyingine zinavyochukua hatua.
Kwani ni vibaya kucopyKa- copy Twitter uyo... Katuletea utopolo wake huku... Aliepost Twitter yeye kasema watanzania tupo 63milion , kwamba kila mtu apewe 1M ... Huyu naona kapunguza hadi 55M..
Sent using Jamii Forums mobile app
Serikali ya Tanzania ikisema ifanye lockdown na kutoa milioni 1 kwa kila Mtanzania kwaajili ya kujikimu kwa mwezi 1 gharama itakuwa ni milioni 55 ambayo kwa mapato ya serikali ni hela inayoingia ndani ya dakika 1 naomba serikali ifanyie kazi hili wazo katika kipindi hiki cha janga la Corona kama nchi nyingine zinavyochukua hatua.
Waza kabla ya kuongeaiwafidie
Mkuu hili eneo linaongeza fedha nyingi za kigeni sidhani Kama serekali sikivu itakubaliana na chanzo hiki Cha mapato kipoteeSekta ya Utalii ndio imeshajifia hivyo, ofisi nyingi zimefungwa, kilichobaki wadau wa utalii warudi vijijini kushika jembe. Utalii hauwezi kutengemaa miaka ya karibuni.
Ngoja tuwasubirieNitakuwepo hapa kwa ajili ya Michango ya WADAU tu