Napenda kuanzisha mada juu ya wote wenye mapenzi mema na taifa letu.
Tutoe ushauri, maoni, mapendekezo juu ya wajibu wa serikali na sisi wananchi juu ya wajibu wa kila mmoja ktk kukabiliana na mlipuko wa ugonjwa huu wa virusi vya korona.
Natumai jamiiforums inatembelewa na viongozi wa kisiasa, kidini na kijamii, itatoa picha ni hatua gani za kujadili na kuchukua.
Mods, ikiwapendeza mnaweza weka mada hii hapo juu
Karibuni