nditolo
JF-Expert Member
- Jul 2, 2011
- 3,731
- 4,271
Kumekuwa na kawaida ya kubadilisha matumizi ya pesa.
Posho za watumishi wa afya tunaomba zisicheleweshwe bila kisingizio. Wako vitani wanahitaji pesa iwatie morale kwenye majanga.
Sahau yaliyofanyika huko bukoba, na ajali ya Arusha.
Nimetanguliza kutoa tahadhari ili wajue kuwa pesa isije leta corona part two.
Sent using Jamii Forums mobile app
Posho za watumishi wa afya tunaomba zisicheleweshwe bila kisingizio. Wako vitani wanahitaji pesa iwatie morale kwenye majanga.
Sahau yaliyofanyika huko bukoba, na ajali ya Arusha.
Nimetanguliza kutoa tahadhari ili wajue kuwa pesa isije leta corona part two.
Sent using Jamii Forums mobile app