Zitto: Ushauri wangu kuhusu Mlipuko wa Korona

Zitto: Ushauri wangu kuhusu Mlipuko wa Korona

Sijui serikali itanunua chakula na kugawa kwa muda gani?maana hatujui janga litaisha lini. Hali kadhalika sijui iitawafidia wafanyabiashara na kulinda ajira za wafanyakazi sekta ya utalii kwa muda gani.je ugonjwa ukiwa endelevu kwa mwaka mmoja aù miaka kadhaa? Nawaza sipati jibu na hizo sanitiza tutanawa mpaka lini sijui. Naona tunautazama huu ugonjwa kwa namna ya mlipuko wa muda mfupi, na ninaombea iwe hivyo.ukituganda kwa muda mrefu sijui hali itakuwaje.

Sent using Jamii Forums mobile app

Watu kule Geita kwny mkutano walilia ooh mkuu njaa wakaambiwa mlitaka mimi nije niwapikie,wengine wa tetemeko waliambiwa serikali haikuleta tetemeko sa hata hii corona haikuletwa na serikali.
 
Sijui serikali itanunua chakula na kugawa kwa muda gani?maana hatujui janga litaisha lini...hali kadhalika sijui iitawafidia wafanyabiashara na kulinda ajira za wafanyakazi sekta ya utalii kwa muda gani.je ugonjwa ukiwa endelevu kwa mwaka mmoja aù miaka kadhaa?nawaza sipati jibu..na hizo sanitiza tutanawa mpaka lini sijui..naona tunautazama huu ugonjwa kwa namna ya mlipuko wa muda mfupi..na ninaombea iwe hivyo.ukituganda kwa muda mrefu sijui hali itakuwaje.

Sent using Jamii Forums mobile app
Umesahau sisi Ni Donor country

Sent using Jamii Forums mobile app
 
ushauri wako umeegemea kubagua sekta nyingine.
unazan corona imeathiri utalii tu!
vipi kuhusu wafanyabiashara tunaotegemea ku import mzigo toka China?
Hili janga limeathiri sekta mbali mbali hivyo kusema serikali iwafidie waajiriwa wa sekta ya utalii ni sawa na kuweka tabaka ili badae wapinga juhudi mje kukosoa, si tunawajua bhana au unazan uongo mh?

Sent using Jamii Forums mobile app
Kwahiyo Bora nyote mkose... Roho ya shetani

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Umeegemea katika taaluma yako ya Uchumi, Naona umesahau jambo moja la muhimu zaidi, elimu zaidi kuhusiana na virusi hivi, Watanzania wengi wanafanya mzaha kuhusiana na hili.
Leo nilienda Mlimani City kwa shughuli zangu binafsi, niliyoyaona yamenisikitisha sana. Watu wamejawa na ulimbukeni wa ajabu, wanavaa zile mask kama fashion huku wakiwa hawazingatii tahadhari nyingine.

Nikiwa nyumbani kwangu namsikia jirani anamwambia mwanae kuwa ili kujikinga na Corona anatakiwa kunawa na maji moto na sabuni kila atokapo chooni!
Nafurahi kukuona dada Nifah.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Zitto,
Ukipata nafasi uongee na gavana wa BoT kwenye ile akiba yetu ambayo huwa wanasema hata tukikaa miezi mitano bila kufanya kazi tuko sawa. Muambie sasa ni wakati wa kufunga mipaka ili tusiandikie mate.
 
Ushauri mzuri. Lakini kuna mambo ya msingi sana ya kuangalia. Kwanza ni namna ya kuiokoa maisha ya watu. Sioni tija ya kuongea na wafanyabiashara kama watu wapo hatarini kufa bila msaada wa haraka sana.

Mpaka tulipofika, inabidi serikali isitishe kwa haraka matumizi makubwa ya fedha kwenye miradi ya ujenzi na hata kulipa madeni. Hii itatusaidia kulikabili hili janga kwa kulenga zaidi kuokoa maisha ya watu. Bila watu utazalisha umeme umzalishie nani? Au barabara mtawatengenezea mbwa na wanyama pori?

Bunge kama bado lipo lijikite kuielekeza serikali kusitisha mambo hata yale yanayoonekana ya muhimu lakini yasiyo na uharaka. Tujikite kuhakikisha tunaiokoa maisha ya watu kwanza.

Serikali iandae mpango wa haraka wa kusambaza mahitaji muhimu pale itakapobidi. Hii inatokana na ukweli kuwa endapo hali itakuwa mbaya watu hawataweza kukaa ndani muda wote. Wengine wataenda hata kuiba ili waweze kuishi.
 
Wengine wanavaa gloves utafikiri waenda safisha vidonda elimu bado inahitajika
Umeegemea katika taaluma yako ya Uchumi, Naona umesahau jambo moja la muhimu zaidi, elimu zaidi kuhusiana na virusi hivi, Watanzania wengi wanafanya mzaha kuhusiana na hili.
Leo nilienda Mlimani City kwa shughuli zangu binafsi, niliyoyaona yamenisikitisha sana. Watu wamejawa na ulimbukeni wa ajabu, wanavaa zile mask kama fashion huku wakiwa hawazingatii tahadhari nyingine.

Nikiwa nyumbani kwangu namsikia jirani anamwambia mwanae kuwa ili kujikinga na Corona anatakiwa kunawa na maji moto na sabuni kila atokapo chooni!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Haya ndiyo maneno, hizi ndizo hoja tunahitaji wana CCM, siyo mipasho wa wakatikia kuni akina Lema na Mbowe. Nadhani Mmawia na genge la wahuni wenzako akina Nyonyoma mnaelewa sasa maana ya hoja, mwezenu kaleta maoni yaliyojaa hoja na serikali lazima itie jicho hapa.
Utalii utasimamishwa muda si mrefu. Serikali isihangaike na hayo mambo aliyosema Zitto. Hayo ni endapo hali itatengamaa mapema.

Kabla ya hapo ni lazima tuangalie namna ya kuyalinda maisha ya watu wa kawaida kwanza. Kukimbilia kulinda makampuni ya utalii huku watu hawana hata chakula sijui kama ni wazo la kuyokea wapi.

Serikali inapaswa kusitisha kwa muda matumizi yote yanayoelekezwa kwenye miradi mikubwa kwa miezi angalau minne ili kuihami jamii kwanza.
 
Mimi naomba Corona itinge pale Lumumba iondoke na polepole pamoja na Kabudi nitafatijika saaaaaana

Sent using Jamii Forums mobile app
IMG-20200317-WA0086.jpg
 
Back
Top Bottom