Pascal Mayalla
Platinum Member
- Sep 22, 2008
- 53,857
- 121,995
Duh! Zitto umeongea jambo la msingi nimeona tija ya wewe kuwa mchumi! ukweli njaa inakuja.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Duh! Zitto umeongea jambo la msingi nimeona tija ya wewe kuwa mchumi! ukweli njaa inakuja.
Uchumi wetu hauruhusu hayo.Kwa vile shughuli za kuingiza kipato zitakua interrupted, muswada pia ujumuishe kupatia kila familia/kaya cheki ya walau laki mbili za matumizi, au kusitisha tozo za umeme, maji na huduma za afya.
Bado unamkandia haijatosha?
Usimshitaki bhana kama una nia hiyo ameshatambua makosa yake.
Kwahiyo unafurahia ikitokea anatafutwa?
Be careful what you wish for!.Duh! Zitto umeongea jambo la msingi nimeona tija ya wewe kuwa mchumi! ukweli njaa inakuja.
Serikali imeshafanya haya, WAZIRI WA FEDHA DR. MPANGO ALIKUWA TRESURY SQUARE DODOMA WAKIJADILI ATAHARI ZA VIRUS KIUCHUMI.
Ila walisikiliza ushauri wa Bulembo wa kumuua Zitto huku mchungaji Lwakatare akishangilia , matokeo yake Zitto hajafa bali corona imeingia .Wangemsikiliza Msigwa, kwasasa bunge lingekuwa lineshajadili na kutoka na maazimio ya pamoja!
Ushauri mzuri!
Huu co muda wa kuanza kukamatana kamatana, huu Ni muda wa kutoa elimu ili watu wajue hatari ya ugonjwa.