Kujua neno pathetic basi umejiona una elimu ya kujua mambo ya dunia na uchumi??Trump ametangaza dola 1000 kila familia Marekani leo na zile zenye watu wengi wataongezewa dola 500.
Hao ndio wanajua thamani ya mwananchi.
inaonekana wewe hata hujui umuhimu wako wala majukumu yako katika nchi yako.
Pathetic
Utakuwa kilazakweli kweli haina haja hata kukuelimisha hapa na neno pathetic ni juu yako kwani huna uelewa