Ndukidi
JF-Expert Member
- Jun 30, 2012
- 1,499
- 1,297
Blah blah blah....Ninachoamini mimi hakina mashiko kwa sasa, Jambo la msingi ni Mwami kutoa sababu za kwanini wagombea wao wameondolewa kugombea na Tume ya Uchaguzi Zanzibar.
Hilo la kukosea kujaza fomu ni swala la kiufundi sana na kilugha na huwezi kulisemea bila kujua specifics zake!