ndammu
JF-Expert Member
- Apr 21, 2017
- 3,971
- 4,440
Kwahiyo hawakusoma miaka mitano ya jiwe tu?Pemba wagombea wengi wa upinzani hawajasoma elimu wengi ni madrasa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwahiyo hawakusoma miaka mitano ya jiwe tu?Pemba wagombea wengi wa upinzani hawajasoma elimu wengi ni madrasa
Asante kwa taarifaMambo ni mazito kidogo.
Zitto kasema kuwa Pemba hakuna mgombea wa ACT aliyeachwa . Wote 18 wameliwa vichwa.
View attachment 1549864
Aidha Zitto pia amesema jumla ya wagombea ubunge 44 wa ACT-Wazalendo Tanzania nzima wameenguliwa.
Hii ni hatari tupu.
View attachment 1549869
Wametafuta vita, vita wataipata. AMENCCM inalazimisha vita kwa faida ya nani ?
Wapi ?! Na mahakama zetu zimetiwa mfukoni !!CCM wana hofu kila kona hawajiamini wanaweza kosa bara na Pwani..
Upinzani ni wakati wa kwenda mbele zaidi ili kuuondoa huu udhalimu wa mkoloni mweusi.
Pemba wagombea wengi wa upinzani hawajasoma elimu wengi ni madrasa
Watasusa sisi twala!
Wapemba komaeni acheni kubweteka na kula urojo tu,hao majambazi ya uchafuzi Ni lazima muyatoe!
Safi sana!! Waonesheni kweli hao wapuuzi kuwa uonevu sasa basi!!! Tulizaliwa siku moja na tutakufa siku moja.Dawa yao iko jikoni , japo wametuletea Tiss wa kutosha , kubadilisha wakuu wa mikoa na kuleta wavamizi kutoka Bara , Mwaka huu tutakula nao sahani moja Bara na visiwani wapemba tumejiimarisha vizuri , NGOMA ITACHEZWA MOTE MWAKA HUU
Wewe unajua kua Katika sehemu yenye wasomi wengi na watu wenye akili na msimamo ni Pemba?Pemba wagombea wengi wa upinzani hawajasoma elimu wengi ni madrasa
Mahakama zipi??? Hizi za kina Jaji Feleshi msukuma aliyemsimamisha uwakili Fatma Karume kisa anampinga msukuma mwenzake Magufuli??Hivi hakuna uwezekano wa kwenda mahakamani kuzuia mchakato wa uchaguzi kusimamishwa hadi ufumbuzi wa uhuni huu wa CCM na NEC utakapopatikana?
G Sam, Atuwekee basi hapa hizo sababu za kipuuzi tuzione.
Tatizo siasa za upinzani Tanzania hawakukaa chini kuweka mikakati wanaingiaje kwenye uchaguzi wanaokoteza okoteza watu kisha hawana mkakati zaidi ya kitegemea nguvu za wagombea....
Utopolo mtupu
sio kweli,wagombea wa ACT wote walikua CUF kutakua na kasoro nyengine tu sio elimu ,alafu jamani tuwe makini tuchague kauli za kutumia ukisema wengi wana elimu za madrasa unakua unaingiza udini ndani yake madrasa ni sehemu ambayo watoto au jamii ya kiislam inaitumia kwa ajili ya kuwafahamisha elimu ya kumjua Mungu na ili waweze kuishi kwa wema na uadilifu mkubwa ndani ya jamii,tusidharau mifumo ya dini za watu wengine na sisi tusije tukadharauliwa dini yetu!Pemba wagombea wengi wa upinzani hawajasoma elimu wengi ni madrasa
Wanaoenguliwa ni upinzani pekeeHakuna bomu lolote fuateni sheria tu.
Ukiwa huru hawezi shindaKuna mtu aliwaahidi Watanzania na ulimwengu kuwa tutakuwa na uchaguzi HURU na HAKI. .. vibuyu vishaanza kulia mapemaaa...
TAGA utakula nini zaidi ya buku saba hiyo.Watasusa sisi twala!