Uchaguzi 2020 Zitto: Wagombea wote 18 wa ACT-Wazalendo kisiwani Pemba wameenguliwa

Uchaguzi 2020 Zitto: Wagombea wote 18 wa ACT-Wazalendo kisiwani Pemba wameenguliwa

Upinzani Tanzania hakuna, vyama vyote ni mamluki. Sikutegemea vyama hivyo kuingia uchaguzi bila tume huru ya uchaguzi kwa vituko vilivofanywa na dola uchaguzi wenyeviti wa mitaa.
Ulitaka wasusie uchaguzi ccm wajitwalie wanavyotaka ?

Waendelee kuingia kwenye uchaguzi mpaka wananchi watakaofika point of no return.

Haiwezekani kuwaachia wajitawale wakati kuna vyama mamluki vitawekwa kama geresha.

Wananchi wanaelewa hali wanayoiface wapinzani na wanawaunga mkono.

Kususia uchaguzi wananchi hawatatuelewa hata kidogo.
 
Hahah
Je kuwekewa pingamizi ni kuvunjiwa amani oops haki za kikatiba?


Usalama wa Tanganyika chini ya TISS wamepelekwa Zanzibar kusimamia uchaguzi kama ni wajumbe wa NEC na kuwaondosha Wazanzibari , huku wakiwalazimisha wagombea wa vyama vyengine kuwawekea pingamizi wagombea wa ACT , Jee huu si uharamia ??? na kuvunja katiba ??
 
Ulitaka wasusie uchaguzi ccm wajitwalie wanavyotaka ?

Waendelee kuingia kwenye uchaguzi mpaka wananchi watakaofika point of no return.

Haiwezekani kuwaachia wajitawale wakati kuna vyama mamluki vitawekwa kama geresha.

Wananchi wanaelewa hali wanayoiface wapinzani na wanawaunga mkono.

Kususia uchaguzi wananchi hawatatuelewa hata kidogo.


Mwaka huu watajua mbivu na mbichi
 
Acha kupanic Zitto ikiwa unaona wameenguliwa bila kufuata sheria za uchaguzi kata rufaa au nenda mahakamani.

Tatizo wagombea wenu wanauza mechi na wengine ni mbumbumbu hawategui mitego ya kisheria katika ujazaji fomu sasa wakikosea kujaza unataka wapokelewe na kupitishwa tu unavyotaka? Uchaguzi huanzia kujaza fomu.
Wewe kweli ni punguani, takataka tena mpumbavu wa mwisho. ina maana kwenye majimbo yote hayo wagombea wa upinzani tu ndio hawajui kujaza fomu. hata huku bara ina maana upinzani tu ndio hawajui? pumbavu sana
 
wewe kweli ni punguani, takataka tena mpumbavu wa mwisho. ina maana kwenye majimbo yote hayo wagombea wa upinzani tu ndio hawajui kujaza fomu. hata huku bara ina maana upinzani tu ndio hawajui? pumbavu sana
Juu ya yote hawa watu ni WASHENZI wanajaribu kujustify kitu ambacho kwa akili za kawaida huwezi. Watatuingiza kwenye kumwaga damu wasipojirudi. Halafu wanasema ni wanademokrasia.
 
Mimi hapa ndipo ninapo kasirika, tueleze vigezo vilivyotumika kuwaengua. Acha kutafuta huruma ki bwege mwami...
Unaamini kuwa ni upinzani tu ndio wamekosea kujaza fomu? Tanzania nzima hakuna mgombea hata mmoja wa chama tawala amekosea?
 
Unaamini kuwa ni upinzani tu ndio wamekosea kujaza fomu? Tanzania nzima hakuna mgombea hata mmoja wa chama tawala amekosea?
Ninachoamini mimi hakina mashiko kwa sasa, Jambo la msingi ni Mwami kutoa sababu za kwanini wagombea wao wameondolewa kugombea na Tume ya Uchaguzi Zanzibar.

Hilo la kukosea kujaza fomu ni swala la kiufundi sana na kilugha na huwezi kulisemea bila kujua specifics zake!
 
Pemba watajua cha kufanya kuna njia nyingi sana za kufanya, wanaweza kura wakapiga chama chengine kama Chadema, lakini pia wanaweza kumpigia kura yule jini anaiwa Ruhani
 
Sababu za kipuuzi ni zipi? Unapokuwa targeted sehemu yoyote ni busara zaidi kuwa makini kwa 100% ili kutowapa mwanya CCM na NEC/ZEC yao.

Unapofanya makosa ambayo kanuni zimeyaainisha japokuwa ni madogo sana, unawapa nafasi ya kukuchapa vilivyo.

‘Makosa’ kama kusahau kubandika picha/kuweka picha yenye background wasiyoitaka, kusahau kujaza tarehe, kusahau kupiga signature, kusahau kukata isiyotakiwa etc ni sababu ambazo NEC wanazitumia kuwaengua wasiowataka
 
Acha kupanic Zitto ikiwa unaona wameenguliwa bila kufuata sheria za uchaguzi kata rufaa au nenda mahakamani.

Tatizo wagombea wenu wanauza mechi na wengine ni mbumbumbu hawategui mitego ya kisheria katika ujazaji fomu sasa wakikosea kujaza unataka wapokelewe na kupitishwa tu unavyotaka? Uchaguzi huanzia kujaza fomu.
You are a civil war agent. Please repent!
 
wewe kweli ni punguani, takataka tena mpumbavu wa mwisho. ina maana kwenye majimbo yote hayo wagombea wa upinzani tu ndio hawajui kujaza fomu. hata huku bara ina maana upinzani tu ndio hawajui? pumbavu sana
Unaweza kutoa hoja bila matusi mkuu
 
Usalama wa Tanganyika chini ya TISS wamepelekwa Zanzibar kusimamia uchaguzi kama ni wajumbe wa NEC na kuwaondosha Wazanzibari , huku wakiwalazimisha wagombea wa vyama vyengine kuwawekea pingamizi wagombea wa ACT , Jee huu si uharamia ??? na kuvunja katiba ??
Bahati mbaya ni kwamba hii taarifa umeitunga na mna kiwanda cha siasa za maji taka

Unayo proof yoyote?
 
Bahati mbaya ni kwamba hii taarifa umeitunga na mna kiwanda cha siasa za maji taka

Unayo proof yoyote?
Mimi si msanii, sorry

Zanzibar si Tanganyika mnakosea sana , tunajuana
 
Back
Top Bottom