permanides
JF-Expert Member
- May 18, 2013
- 11,682
- 14,241
Miaka mingine walikuwa wanajaza vipi, ila pia Sheria za uchaguzi zinahitaji kufanyiwa marekebisho, mtia nia akikosea kujaza fomu anapaswa apewe fomu nyingine au kurekebisha alipokosea na siyo kumtoa kwenye kinyang'anyiroPemba wagombea wengi wa upinzani hawajasoma elimu wengi ni madrasa