Uchaguzi 2020 Zitto: Wagombea wote 18 wa ACT-Wazalendo kisiwani Pemba wameenguliwa

Blah blah blah....
 
Ni sababu za kipuuzi lakini zinazokidhi sheria au ni za kipuuzi lakini hazikidhi sheria?
 
Sie tunasubiri taarifa ya Tume, hizi za akina Zitto ni ukiukwaji wa maadili na sheria za uchaguzi. Hizi ni mbinu za kutaka kuvuruga uchaguzi.
 
Sie tunasubiri taarifa ya Tume, hizi za akina Zitto ni ukiukwaji wa maadili na sheria za uchaguzi. Hizi ni mbinu za kutaka kuvuruga uchaguzi.
Kwa yanayoendelea tume ndo chanzo cha uvurugaji amani
 
CCM mnachofanya hapa ni kuunganisha upinzani ambao mpaka sasa wameshindwa kuungana kwa hiari yao. Huu uzembe mnaoufanya mtaujutia.

Kinana uko wapi, wakati mauzembe haya yanafanywa na akina Bashiru na Polepole.
 
Naona tume imekuwa Na hasira kama mamba aliyekosa target ya kukamata windo!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…