Blah blah blah....Ninachoamini mimi hakina mashiko kwa sasa, Jambo la msingi ni Mwami kutoa sababu za kwanini wagombea wao wameondolewa kugombea na Tume ya Uchaguzi Zanzibar.
Hilo la kukosea kujaza fomu ni swala la kiufundi sana na kilugha na huwezi kulisemea bila kujua specifics zake!
Ni sababu za kipuuzi lakini zinazokidhi sheria au ni za kipuuzi lakini hazikidhi sheria?Kisiwani Pemba, majimbo 18/18, Wanaenguliwa wagombea wa @ACTwazalendo systematically. Tutafuata hatua zote za kisheria kuzuiwa kinachofanywa. Halafu tutajua la kufanya. Mpaka sasa Tanzania nzima wameshaengua wagombea ubunge 44 wa ACT Wazalendo kwa sababu za kipuuzi sana
From zitto kabwe
View attachment 1550045
ndio wote!Kwa faida ya watz! Kama hawakufuata sheria wanaenguliwa tu no way!
Wapinzani pekeeSasa kama hawajui hata kujaza fomu au njaa zao ndiyo shida pia nj rahisi kuuza jimbo. Fuatilieni mpate kujua zaidi.
Kwa yanayoendelea tume ndo chanzo cha uvurugaji amaniSie tunasubiri taarifa ya Tume, hizi za akina Zitto ni ukiukwaji wa maadili na sheria za uchaguzi. Hizi ni mbinu za kutaka kuvuruga uchaguzi.
Mamayo zako wewe!!Pemba wagombea wengi wa upinzani hawajasoma elimu wengi ni madrasa
Kama mliwabeba kienyeji toka cuf bila taratibu ndio hapo sasa..Mambo ni mazito kidogo.
Zitto kasema kuwa Pemba hakuna mgombea wa ACT aliyeachwa . Wote 18 wameliwa vichwa.
View attachment 1549864
Aidha Zitto pia amesema jumla ya wagombea ubunge 44 wa ACT-Wazalendo Tanzania nzima wameenguliwa.
Hii ni hatari tupu.
View attachment 1549869
Kwa hio tangu 1995 waliosoma Madrasa ndo ndo walikua wabunge sio?Pemba wagombea wengi wa upinzani hawajasoma elimu wengi ni madrasa
Ningeshangaa Kama ungejibu kitu tofauti na hikiBlah blah blah....
Kwa hivyo wa ccm pekee ndo wamesoma?Pemba wagombea wengi wa upinzani hawajasoma elimu wengi ni madrasa