🌈Hii tabia ya uchoko unaonekana umeianza siku nyingi sana, ndio maana jamaa akawahi kukuweka, kilichobaki sasa ni ndimu mfukoni kinyaa takataka kabisa
Sent from my SM-G900H using JamiiForums mobile app
Mbona umekasirika sana? 😂😂Hivi wewe ni wa jinsia gani?? Kila kukicha wewe na Mbowe. Iwe mjadala unahusu soka wewe lazima umtaje Mh Mbowe.
Angekuwa hivyo asingekubali kuhongwa ili auwe upinzaniZitto ni mmoja wa wanasiasa wachache hapa nchini wa daraja la kwanza kwa msimamo, uongozi, ufahamu wa uchumi na anaeweza kutambua na kutoa utatuzi sahihi wa changamoto zinazo kabili taifa.
Hana kukurupuka, amekomaa, ametulia kisiasa.
Anyway mimi sina chama kwa hiyo simpugii mtu debe ila natoa maoni.
Hoja zako wakati mwingine ni kijinga sana.Mbona umekasirika sana? [emoji23][emoji23]
Sio kweli mkuu, akiwa mbunge alitimiza wajibu wake wa kutunga sheria, kuwakilisha mahitaji na maoni ya wanajimbo lake na kuisimamia serikali. Mkuu usichanganye mambo ya serikali na mbunge.Mvurugaji asie na sifa ya kua hata mwenyekiti wa Kijiji, alipewa ubunge kigoma miaka 15 na hakuna kitu chochote kile alichofanya ambacho anaweza kusimama na kujitetea
Hata Magufuli alianza hivi hivi kuwatuma watu walete hoja hiyo na akaenda mbali zaidi kuhujumu uchaguzi mkuu 2020 na kuingiza misukule yake bungeni kumuandalia urais wa milele bahati nzuri Mungu akaingilia kati.Hata Nkurunziza alianza hivi hivi.
Kama vile JiweMbowe yeye mpaka afie kwenye uenyekiti
Kwa jinsi Zitto alivyokubuhu kwa unafiki, tusubiri kuna mbinu atafanya tu ili aendelee kuwa mtu mwenye sauti ya mwisho katika chama chake. Zitto anaweza hata aweke kiongozi boya na yeye aendelee kuongoza chama bila kuwa na title ya kiongozi mkuu au hata kubadilishana nafasi na kuwa nwenyekiti."Sisi katiba yetu ipo wazi ina vipindi viwili na mimi ni muumini wa katiba na ukatiba kwahiyo nimeamua kuheshimu katiba, kumekuwa na shinikizo ndani ya chama kuwa tubadilishe katiba ili uweze kuendelea nimekataa kwasababu nisipo heshimu katiba naweka precedent mbaya kwa watu wengine watakao kuja baadaye na siwezi semea vyama vingine kwasababu kila chama kina katiba yake"
'Kuhusu kugombea hata kama ningekuwa bado ni kiongozi wa chama ningegombea tu ubunge na ningerudi tu bungeni na ningeendelea tu kuwa kiongozi wa chama, na nitagombea ubunge hilo halina mjadala Mungu atupe uhai hivyo suala la kurejea sio mjadala wa uongozi'
Nacho zungumzia ni ahadi zake alizokua anatoa na hakuwahi kuzitimiza mpaka keshoSio kweli mkuu, akiwa mbunge alitimiza wajibu wake wa kutunga sheria, kuwakilisha mahitaji na maoni ya wanajimbo lake na kuisimamia serikali. Mkuu usichanganye mambo ya serikali na mbunge.
Yeye kasema hawezi kuvisemea vyama vingine.Kwako ustaadh Aboubakar Ufipa st
Kusema anaheshimu katiba ya chama chake ni unafiki?! Mangi una tatizo gani?Mind hakuna mwanasiasa mnafiki kama huyo.
Subiri time will tell.Kusema anaheshimu katiba ya chama chake ni unafiki?! Mangi una tatizo gani?
"Sisi katiba yetu ipo wazi ina vipindi viwili na mimi ni muumini wa katiba na ukatiba kwahiyo nimeamua kuheshimu katiba, kumekuwa na shinikizo ndani ya chama kuwa tubadilishe katiba ili uweze kuendelea nimekataa kwasababu nisipo heshimu katiba naweka precedent mbaya kwa watu wengine watakao kuja baadaye na siwezi semea vyama vingine kwasababu kila chama kina katiba yake"
'Kuhusu kugombea hata kama ningekuwa bado ni kiongozi wa chama ningegombea tu ubunge na ningerudi tu bungeni na ningeendelea tu kuwa kiongozi wa chama, na nitagombea ubunge hilo halina mjadala Mungu atupe uhai hivyo suala la kurejea sio mjadala wa uongozi'
Mbowe na kundi lake hawatafurahia huu msimamo aisee"Sisi katiba yetu ipo wazi ina vipindi viwili na mimi ni muumini wa katiba na ukatiba kwahiyo nimeamua kuheshimu katiba, kumekuwa na shinikizo ndani ya chama kuwa tubadilishe katiba ili uweze kuendelea nimekataa kwasababu nisipo heshimu katiba naweka precedent mbaya kwa watu wengine watakao kuja baadaye na siwezi semea vyama vingine kwasababu kila chama kina katiba yake"
'Kuhusu kugombea hata kama ningekuwa bado ni kiongozi wa chama ningegombea tu ubunge na ningerudi tu bungeni na ningeendelea tu kuwa kiongozi wa chama, na nitagombea ubunge hilo halina mjadala Mungu atupe uhai hivyo suala la kurejea sio mjadala wa uongozi'
Copy:Freeman Aikael MbowePamoja na usnitch wake wote, iwapo Zito ataheshimu time limit kwenye cheo chake, nitampa heshima fulani. Ni kinyaa kwa kiongozi kukaa madarakani kwa muda mrefu.
Makazi yake ya kudumu ni DarMvurugaji asie na sifa ya kua hata mwenyekiti wa Kijiji, alipewa ubunge kigoma miaka 15 na hakuna kitu chochote kile alichofanya ambacho anaweza kusimama na kujitetea
Wewe ndiye una makosa.naweka precedent ❌️
ninaweka precedence ✅️