Zitto: Wanachama ACT Wazalendo wanataka kubadili katiba ya chama ili niendelee kuongoza. Nimewaambia naheshimu katiba

Zitto: Wanachama ACT Wazalendo wanataka kubadili katiba ya chama ili niendelee kuongoza. Nimewaambia naheshimu katiba

Zitto ni mmoja wa wanasiasa wachache hapa nchini wa daraja la kwanza kwa msimamo, uongozi, ufahamu wa uchumi na anaeweza kutambua na kutoa utatuzi sahihi wa changamoto zinazo kabili taifa.
Hana kukurupuka, amekomaa, ametulia kisiasa.
Anyway mimi sina chama kwa hiyo simpugii mtu debe ila natoa maoni.
Angekuwa hivyo asingekubali kuhongwa ili auwe upinzani
 
Mvurugaji asie na sifa ya kua hata mwenyekiti wa Kijiji, alipewa ubunge kigoma miaka 15 na hakuna kitu chochote kile alichofanya ambacho anaweza kusimama na kujitetea
Sio kweli mkuu, akiwa mbunge alitimiza wajibu wake wa kutunga sheria, kuwakilisha mahitaji na maoni ya wanajimbo lake na kuisimamia serikali. Mkuu usichanganye mambo ya serikali na mbunge.
 
Hata Nkurunziza alianza hivi hivi.
Hata Magufuli alianza hivi hivi kuwatuma watu walete hoja hiyo na akaenda mbali zaidi kuhujumu uchaguzi mkuu 2020 na kuingiza misukule yake bungeni kumuandalia urais wa milele bahati nzuri Mungu akaingilia kati.
 
"Sisi katiba yetu ipo wazi ina vipindi viwili na mimi ni muumini wa katiba na ukatiba kwahiyo nimeamua kuheshimu katiba, kumekuwa na shinikizo ndani ya chama kuwa tubadilishe katiba ili uweze kuendelea nimekataa kwasababu nisipo heshimu katiba naweka precedent mbaya kwa watu wengine watakao kuja baadaye na siwezi semea vyama vingine kwasababu kila chama kina katiba yake"

'Kuhusu kugombea hata kama ningekuwa bado ni kiongozi wa chama ningegombea tu ubunge na ningerudi tu bungeni na ningeendelea tu kuwa kiongozi wa chama, na nitagombea ubunge hilo halina mjadala Mungu atupe uhai hivyo suala la kurejea sio mjadala wa uongozi'
Kwa jinsi Zitto alivyokubuhu kwa unafiki, tusubiri kuna mbinu atafanya tu ili aendelee kuwa mtu mwenye sauti ya mwisho katika chama chake. Zitto anaweza hata aweke kiongozi boya na yeye aendelee kuongoza chama bila kuwa na title ya kiongozi mkuu au hata kubadilishana nafasi na kuwa nwenyekiti.

All in all bila kujali atashika nafasi yenye jina gani zitto ndiye atakayeendelea kuwa kiongozi wa ACT.

Mind hakuna mwanasiasa mnafiki kama huyo.
 
Sio kweli mkuu, akiwa mbunge alitimiza wajibu wake wa kutunga sheria, kuwakilisha mahitaji na maoni ya wanajimbo lake na kuisimamia serikali. Mkuu usichanganye mambo ya serikali na mbunge.
Nacho zungumzia ni ahadi zake alizokua anatoa na hakuwahi kuzitimiza mpaka kesho
 
"Sisi katiba yetu ipo wazi ina vipindi viwili na mimi ni muumini wa katiba na ukatiba kwahiyo nimeamua kuheshimu katiba, kumekuwa na shinikizo ndani ya chama kuwa tubadilishe katiba ili uweze kuendelea nimekataa kwasababu nisipo heshimu katiba naweka precedent mbaya kwa watu wengine watakao kuja baadaye na siwezi semea vyama vingine kwasababu kila chama kina katiba yake"

'Kuhusu kugombea hata kama ningekuwa bado ni kiongozi wa chama ningegombea tu ubunge na ningerudi tu bungeni na ningeendelea tu kuwa kiongozi wa chama, na nitagombea ubunge hilo halina mjadala Mungu atupe uhai hivyo suala la kurejea sio mjadala wa uongozi'
 
"Sisi katiba yetu ipo wazi ina vipindi viwili na mimi ni muumini wa katiba na ukatiba kwahiyo nimeamua kuheshimu katiba, kumekuwa na shinikizo ndani ya chama kuwa tubadilishe katiba ili uweze kuendelea nimekataa kwasababu nisipo heshimu katiba naweka precedent mbaya kwa watu wengine watakao kuja baadaye na siwezi semea vyama vingine kwasababu kila chama kina katiba yake"

'Kuhusu kugombea hata kama ningekuwa bado ni kiongozi wa chama ningegombea tu ubunge na ningerudi tu bungeni na ningeendelea tu kuwa kiongozi wa chama, na nitagombea ubunge hilo halina mjadala Mungu atupe uhai hivyo suala la kurejea sio mjadala wa uongozi'
Mbowe na kundi lake hawatafurahia huu msimamo aisee
 
Pamoja na usnitch wake wote, iwapo Zito ataheshimu time limit kwenye cheo chake, nitampa heshima fulani. Ni kinyaa kwa kiongozi kukaa madarakani kwa muda mrefu.
Copy:Freeman Aikael Mbowe
 
Mvurugaji asie na sifa ya kua hata mwenyekiti wa Kijiji, alipewa ubunge kigoma miaka 15 na hakuna kitu chochote kile alichofanya ambacho anaweza kusimama na kujitetea
Makazi yake ya kudumu ni Dar
 
naweka precedent ❌️
ninaweka precedence ✅️
Wewe ndiye una makosa.

Precedent means an earlier occurrence” or “something done or said that may serve as an example

Precedence priority of importance
 
Back
Top Bottom