Ziwa Nyasa limeporwa kikamilifu?

Ziwa Nyasa limeporwa kikamilifu?

Mbona mimi last December nilipoenda likizo, nilitembelea mpaka Matema beach ambako tuliogelea, tukapanda kwenye boti ya mota na kuanza kuzunguka kuingia ndani km nyingi tu lkn hakuna aliye tubugudhi. Inawezekana hiyo ni mipaka ya kwenye makaratasi tu.

Hakuna nyaraka yoyote ya kisheria ambayo imempa mamlaka Malawi ya kumiliki ziwa lote upande wa Tanzania na nusu upande wa Msumbiji.
Kila kitu kinaanzia kama punje. Ilianza kama chokochoko. Lakini Malawi naona wakakomaa kulidai hilo hilo ziwa kimataifa. Imeanzia kwanza kutambulikana mipaka waliyoidai kisheria. Baadae wanaweza wakaanza utaratibu mwingine kisheria utakaowatambua wao kabisa kwamba ndio wenye ziwa. Kwa sasa shughuri zote zinaweza zikawa zinaendelea kama zilivyozoeleka,kwa pande zote,ila kwa mipaka hiyo tegemea lolote kwa watoto wako au hata wajukuu. Wenyewe hawataki vita vya mabunduki kama mlivyojitapa nyie. Wanaenda taratibu kisayansi
 
Hao maaskari wanaolindaga mipaka walikuwa wapi hadi wamalawi wahamishe mipaka?

Ina maana hamna wanajeshi kabisa kwenye hilo ziwa!? Kama ni hivyo, basi hatuko salama!
Mpaka sio ukuta kama mtu atakuja kuujenga usiku! Hayo ni mambo ya kwenye makaratasi
 
Nawasalimu kwa jina la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.

Iko hivi, kipindi kulivyoibuka vita ya maneno kati yetu na Malawi niliangalia mpaka wetu na Malawi kupitia picha za satellite nikaona mpaka huo umepita katikati ya ziwa Nyasa.

Siku chache mbeleni nikaangalia tena nikaona mpaka upo pale pale lakini sehemu hiyo/mpaka huo ukiwa umebadilishwa rangi kuwa nyekundu.

Kuchorwa mpaka huo kwa rangi nyekundu ni kuashiria kuna mzozo ambao umoja wa mataifa haujaelewa ni nani hasa mwenye haki na eneo hilo kati ya Tanzania na Malawi.

Tangu 2015 sikuwahi kuchungulia tena eneo hilo, ila leo nimeangalia mpaka huo kupitia camera za satellite nikashtuka baada ya kuona mpaka huo umehamishwa alafu wakabadili na jina la ziwa hilo na kuliita ziwa Malawi 😠

Yaani kwa kifupi lile ziwa hatuna mamlaka nalo tena! Tumeporwa kilomita nyingi sana za mraba huku serikali yetu ikiwa haijui kinachoendelea juu ya ziwa hilo lenye utajiri wa gesi, mafuta na spish za samaki zaidi ya 1500.

Mpaka huo umehamishwa kutoka katikati ya ziwa hadi kwenye fukwe za nchi yetu huku wakibadili kabisa jina la ziwa letu na kuliita ziwa Malawi kama inavyoonekana kwenye picha.

View attachment 1804817

Linganisha na mpaka ambao tuliachiwa na wakoloni katika picha hii.

View attachment 1804818

Ikumbukwe kwamba miaka michache kipindi cha serikali ya Jakaya kikwete tulikuwa na mzozo Malawi kuhusiana na hili ziwa hadi kukatokea vitisho vya kuingia vitani kila nchi ikidai italinda mpaka wake. Malawi wakidai ziwa lote ni lao huku Tanzania tukidai mpaka wa wakoloni ambao ulipita ndani ya ziwa huku sisi tukiwa na eneo lenye upana zaidi ya Malawi.

Hii maana yake nini? Sisi ni wapole sana au hatupo tayari kulinda mipaka yetu?

Kwanini wazungu wameridhia kumega nchi yetu na kuikabidhi Malawi?

Naomba serikali yetu tukufu itoe maelezo kuhusu hili jambo maana sio dogo.

Tukiendelea kunyamaza kuna siku watasema mkoa wa Mbeya ni wao
MTOA mada naungana nae Jambo hili latakiwa fiatiliwa kwa kina na utatuzi wake kufanyika kwa haraka,Amin pia alianza mdogomdogo ,hakuna kitu hufanyika kwa bahati mbaya ,Kama wanaleta za kule Serikali itwambie mapema sie jeshi la akiba tuanze kupasha,wenda hawana nia njema mipaka ya kiwanja ,nchi sio vitu vya kuchezea chezea,lazima kueshimiana katika ilo
 
Kwa jinsi dunia inakoelekea now,tunatakiwa kukuza jeshi.Tuwe na jeshi kubwa la kisasa.For the next 10 years ni muhimu kukuza jeshi la Tanzania.
Huenda post yangu ikaeleweka baadae sana after those 10 years.
 
Kwa jinsi dunia inakoelekea now,tunatakiwa kukuza jeshi.Tuwe na jeshi kubwa la kisasa.For the next 10 years ni muhimu kukuza jeshi la Tanzania.
Huenda post yangu ikaeleweka baadae sana after those 10 years.

Sioni tatizo lolote likitokea kwenye huu utawala wa Lazarus Chakwera. Ni mtu mtulivu na anaiheshimu sama Tanzania na JPM.

Hasara ni kubwa kwao kuliko faida. Wana watu wao wengi sana wanafanya kazi Tanzania na kutuma pesa nyumbani, wanatemegea biashara, usafiri wa kuaminika kutoka Tanzania hadi Malawi na ushikiano mzuri.

Watu wa mpakani wanashirikiana vizuri tu. Ni kweli Tanzania ijiandae kwa zaidi ya miaka 20 ijayo kijeshi na kuwa na jeshi la kisasa.
 
Haya sasa ndo mambo yanayopaswa kujadiliwa kizalendo sio,zile mambo za kupiga kura BET wakati nikipiga kura kwa burnaboy haiathiri usalama wa nchi yangu,swala la BET halihusiani kabisa na uzalendo,uzalendo upo hapa sasa..


By the way,hii ni hatari na inatia wasi wasi+hasira.Kipindi nasoma primary hilo nililitambua kama ziwa Nyasa lkn haya yanayoibuka yanatakiwa tuyatafakari,tuyajadili,tuipigie serikali na vyombo husika kelele waamke juu ya hili...kwekweli wazalendo tutahitaji maelezo juu ya hili,nna uhakika kupitia uzi huu taarifa zitawafikia na siku chache zijazo tutafafanuliwa...[emoji110][emoji1241][emoji110]
 
Nawasalimu kwa jina la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.

Iko hivi, kipindi kulivyoibuka vita ya maneno kati yetu na Malawi niliangalia mpaka wetu na Malawi kupitia picha za satellite nikaona mpaka huo umepita katikati ya ziwa Nyasa.

Siku chache mbeleni nikaangalia tena nikaona mpaka upo pale pale lakini sehemu hiyo/mpaka huo ukiwa umebadilishwa rangi kuwa nyekundu.

Kuchorwa mpaka huo kwa rangi nyekundu ni kuashiria kuna mzozo ambao umoja wa mataifa haujaelewa ni nani hasa mwenye haki na eneo hilo kati ya Tanzania na Malawi.

Tangu 2015 sikuwahi kuchungulia tena eneo hilo, ila leo nimeangalia mpaka huo kupitia camera za satellite nikashtuka baada ya kuona mpaka huo umehamishwa alafu wakabadili na jina la ziwa hilo na kuliita ziwa Malawi 😠

Yaani kwa kifupi lile ziwa hatuna mamlaka nalo tena! Tumeporwa kilomita nyingi sana za mraba huku serikali yetu ikiwa haijui kinachoendelea juu ya ziwa hilo lenye utajiri wa gesi, mafuta na spish za samaki zaidi ya 1500.

Mpaka huo umehamishwa kutoka katikati ya ziwa hadi kwenye fukwe za nchi yetu huku wakibadili kabisa jina la ziwa letu na kuliita ziwa Malawi kama inavyoonekana kwenye picha.

View attachment 1804817

Linganisha na mpaka ambao tuliachiwa na wakoloni katika picha hii.

View attachment 1804818

Ikumbukwe kwamba miaka michache kipindi cha serikali ya Jakaya kikwete tulikuwa na mzozo Malawi kuhusiana na hili ziwa hadi kukatokea vitisho vya kuingia vitani kila nchi ikidai italinda mpaka wake. Malawi wakidai ziwa lote ni lao huku Tanzania tukidai mpaka wa wakoloni ambao ulipita ndani ya ziwa huku sisi tukiwa na eneo lenye upana zaidi ya Malawi.

Hii maana yake nini? Sisi ni wapole sana au hatupo tayari kulinda mipaka yetu?

Kwanini wazungu wameridhia kumega nchi yetu na kuikabidhi Malawi?

Naomba serikali yetu tukufu itoe maelezo kuhusu hili jambo maana sio dogo.

Tukiendelea kunyamaza kuna siku watasema mkoa wa Mbeya ni wao
Sio kweli haya uliyoandika na ramani yako, mpaka uko palepale, na kwa sheria za kimataifa mipaka ya majini kwa nchi mbili huwa katikati kutokana na jiografia ya sehemu husika. Kama ni hivyo unvyosema tungekuwa tunaona shughuli za Wamalawi kwenye mwambao wa Ziwa Nyasa kwa upande wa Tanzania, kuhusu jina miaka mingi wao huliita hili ziwa Lake Malawi kutukuza nchi yao kwani hawana ziwa lingine kubwa kama hili ni sawa na sisi Watanzania tunapoliita Lake Victoria, Lake Nyanza ilihali Waganda na Wakenya bado wanaliita Lake Victoria, jina halifanyi ziwa kuwa la nchi moja pekee.
 
Sioni tatizo lolote likitokea kwenye huu utawala wa Lazarus Chakwera. Ni mtu mtulivu na anaiheshimu sama Tanzania na JPM.

Hasara ni kubwa kwao kuliko faida. Wana watu wao wengi sana wanafanya kazi Tanzania na kutuma pesa nyumbani, wametengeza biashara, usafiri wa kuaminika kutoka Tanzania hadi Malawi na ushikiano mzuri.

Watu wa mpakani wanashirikiana vizuri tu. Ni kweli Tanzania ijiandae kwa zaidi ya miaka 20 ijayo kijeshi na kuwa na jeshi la kisasa.
Tatizo si Chakwera wala wamalawi.
Tatizo ni hawa watu weupe wenye macho ya blue na nywele za dhahabu.
Kuna mapinduzi ya nne ya kimaendeleo duniani yanaendelea now,na yanahusu teknolojia ambazo raw materials ni huku huku Afrika.
Kama wana jambo lao wale hawashindwi kupandikiza mtu in either of the countries in great lakes na mtu huyu akatumika kuleta usumbufu mkubwa.
Angalia kinachoendelea Mozambique.
Nimesema tuimarishe jeshi kwa maono ya mbele sana.kuna kitu kinakuja huko mbele.
 
Wanachofanya wao ni vita ya kisayansi. Nyie subirini hapo hapo hiyo vita yenu ya kishamba ya mabunduki.
Nataka niwaambie hapo ndio tujijue sisi bado hata uelewa tu tunashuka kwa kasi kwenda chini. Hata Malawi wametupiga bao sasa. Tumekazana tu kutekana humu humu ndani.
Sisi tumepanga wanajeshi mpakani. Malawi wanaendelea taratibu kujimilikisha ardhi yetu kisheria kwenye jumuia za kimataifa
Mzee wa kujishuku.
 
Huo mkata
Rudi tena usome historia ya mpaka katika ziwa Nyasa hiki ulichoandika siyo sahihi.

Tanganyika ilikuwa chini ya ujerumani na mpaka wa mwanzo wakati Tanganyika likiwa koloni la ujerumani unafahamika ulikuwa unajumuisha Ziwa Malawi.

Kasome vizuri the Heligolland Treaty utapata mwanga
Hiyo heligoland treaty ya mwaka 1890 ndiyo iliyotukosesha ziwa sisi watanganyika. Ni kweli kipindi Cha mkataba huo Tanganyika ilikuwa chini ya wajerumani na hao wajerumani ndiyo wakaridhia upuuzi huo bila kuangalia haki za asili ya watu wa tanganyika wanaolizunguka ziwa. Waingereza walilithi hiyo mipaka Kama ilivyo walivyoitawala Tanganyika. Na kwa wao haikuwa tatizo kwa kuwa makoloni yote yalikuwa chini yao
 
Wewe hujui kuwa Google imenakili Ramani ya Waingereza? Au unazani satelite inajichorea yenyewe
Na mwaka 2014-2015 ilikuwa inanakili mipaka ya wapi maana mpaka wa hapo ziwani ulipita katikati ya ziwa?
 
Tatizo si Chakwera wala wamalawi.
Tatizo ni hawa watu weupe wenye macho ya blue na nywele za dhahabu.
Kuna mapinduzi ya nne ya kimaendeleo duniani yanaendelea now,na yanahusu teknolojia ambazo raw materials ni huku huku Afrika.
Kama wana jambo lao wale hawashindwi kupandikiza mtu in either of the countries in great lakes na mtu huyu akatumika kuleta usumbufu mkubwa.
Angalia kinachoendelea Mozambique.
Nimesema tuimarishe jeshi kwa maono ya mbele sana.kuna kitu kinakuja huko mbele.

Kwa Malawi hilo linawezekana huko mbeleni sababu Kamuzu alishirikiana sana na Wareno na Makaburu kuithibiti Mozambique.

Lakini sio in immediate future. Ni nchi maskini na dhaifu kupambana na Tanzania, yoyote kwa sasa.

Pia tupo pamoja SADC, COMESA, AU na UN.
 
Kwahiyo wewe ndiyo unajua kuliko mtoa mada kwa hiki ulichoandika ?
Article 2 of paragraph 1 of the heligoland treaty, states that" the boundary between nyasaland and tanganyika ran along the eastern, western and northern shores of the lake until it reached the northern bank of the mouth of songwe river
 
Huujui huu mgogoro Upo siku nyingi tangu enzi za Nyerere na Ndio maana shughuli zinaendelea.
Kumbuka comment yako ya juu ulisema ramani ipo hivyo muda wote kitu ambacho nimekupinga maana hilo eneo niliangalia 2014 nikaona mpaka umepita katikati ya ziwa.
Leo mpaka umesogezwa hadi nchi kavu ambapo kilomita kama 20 zinaonekana zimemegwa Tanzania
 
a
Nawasalimu kwa jina la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.

Iko hivi, kipindi kulivyoibuka vita ya maneno kati yetu na Malawi niliangalia mpaka wetu na Malawi kupitia picha za satellite nikaona mpaka huo umepita katikati ya ziwa Nyasa.

Siku chache mbeleni nikaangalia tena nikaona mpaka upo pale pale lakini sehemu hiyo/mpaka huo ukiwa umebadilishwa rangi kuwa nyekundu.

Kuchorwa mpaka huo kwa rangi nyekundu ni kuashiria kuna mzozo ambao umoja wa mataifa haujaelewa ni nani hasa mwenye haki na eneo hilo kati ya Tanzania na Malawi.

Tangu 2015 sikuwahi kuchungulia tena eneo hilo, ila leo nimeangalia mpaka huo kupitia camera za satellite nikashtuka baada ya kuona mpaka huo umehamishwa alafu wakabadili na jina la ziwa hilo na kuliita ziwa Malawi 😠

Yaani kwa kifupi lile ziwa hatuna mamlaka nalo tena! Tumeporwa kilomita nyingi sana za mraba huku serikali yetu ikiwa haijui kinachoendelea juu ya ziwa hilo lenye utajiri wa gesi, mafuta na spish za samaki zaidi ya 1500.

Mpaka huo umehamishwa kutoka katikati ya ziwa hadi kwenye fukwe za nchi yetu huku wakibadili kabisa jina la ziwa letu na kuliita ziwa Malawi kama inavyoonekana kwenye picha.

View attachment 1804817

Linganisha na mpaka ambao tuliachiwa na wakoloni katika picha hii.

View attachment 1804818

Ikumbukwe kwamba miaka michache kipindi cha serikali ya Jakaya kikwete tulikuwa na mzozo Malawi kuhusiana na hili ziwa hadi kukatokea vitisho vya kuingia vitani kila nchi ikidai italinda mpaka wake. Malawi wakidai ziwa lote ni lao huku Tanzania tukidai mpaka wa wakoloni ambao ulipita ndani ya ziwa huku sisi tukiwa na eneo lenye upana zaidi ya Malawi.

Hii maana yake nini? Sisi ni wapole sana au hatupo tayari kulinda mipaka yetu?

Kwanini wazungu wameridhia kumega nchi yetu na kuikabidhi Malawi?

Naomba serikali yetu tukufu itoe maelezo kuhusu hili jambo maana sio dogo.

Tukiendelea kunyamaza kuna siku watasema mkoa wa Mbeya ni wao
Acha uchochezi, hujaonyesha chanzo cha ramani hizo mbili ulizotuwekea. pia practicability ya mpaka ni shughuli za kiuchumi za nchi. practice haionyeshi kuwa we are restricted that much beyond as you have just shown. acha uchochezi.
 
MTOA mada naungana nae Jambo hili latakiwa fiatiliwa kwa kina na utatuzi wake kufanyika kwa haraka,Amin pia alianza mdogomdogo ,hakuna kitu hufanyika kwa bahati mbaya ,Kama wanaleta za kule Serikali itwambie mapema sie jeshi la akiba tuanze kupasha,wenda hawana nia njema mipaka ya kiwanja ,nchi sio vitu vya kuchezea chezea,lazima kueshimiana katika ilo
Asante mkuu, japo sijawahi kupita jeshini nipo tayari pia katika hili
 
Kwa Malawi hilo linawezekana huko mbeleni sababu Kamuzu alishirikiana sana na Wareno na Makaburu kuithibiti Mozambique.

Lakini sio in immediate future. Ni nchi maskini na dhaifu kupambana na Tanzania, yoyote kwa sasa.

Pia tupo pamoja SADC, COMESA, AU na UN.
Na hizi tasisi zetu za umoja wa kikanda tuzipe nguvu zaidi.Tukiwa wamoja na kushirikiana mambo mengi then itawawia vigumu "wale mabwana" kuja kutuhujumu.
Mwalimu Nyerere alikuwa na maono sana.Alitumia mpaka intelijensia kuhakikisha nani anakuwa kiongozi katika eneo hili lote la SADC.
Yote hii ni kuhakikisha tuna viongozi wanaojuana na kujiona kama familia.Kwa dunia ya leo maslahi ndio yanaunganisha watu.Ifike mahali mmalawi aione Tz ni muhimu kwake kuliko kuihujumu.Na mtz aione Malawi hivyo hivyo.Ni suala la regional integration kiuchumi,kijamii etc.
 
Sio kweli haya uliyoandika na ramani yako, mpaka uko palepale, na kwa sheria za kimataifa mipaka ya majini kwa nchi mbili huwa katikati kutokana na jiografia ya sehemu husika. Kama ni hivyo unvyosema tungekuwa tunaona shughuli za Wamalawi kwenye mwambao wa Ziwa Nyasa kwa upande wa Tanzania, kuhusu jina miaka mingi wao huliita hili ziwa Lake Malawi kutukuza nchi yao kwani hawana ziwa lingine kubwa kama hili ni sawa na sisi Watanzania tunapoliita Lake Victoria, Lake Nyanza ilihali Waganda na Wakenya bado wanaliita Lake Victoria, jina halifanyi ziwa kuwa la nchi moja pekee.
Umetembelea hilo eneo kwa kutumia Google map? Au Google map kwako unaona haina nguvu yoyote katika hili?

Unasikitisha sana!
 
Back
Top Bottom