Zoezi la kubadilishana mateka na wafungwa litaanza Jumapili saa 8:30 a.m. (06:30 GMT), kati Israel na Hamas

Zoezi la kubadilishana mateka na wafungwa litaanza Jumapili saa 8:30 a.m. (06:30 GMT), kati Israel na Hamas

Israel imewateka nyara zaidi ya watoto 13,000 tangu mwaka 2000, kuwaweka jela na kuteswa, kunyanyaswa kingono, kupigwa na kudhalilishwa. Hili ni taifa la mauaji ya halaiki, la kigaidi na siku zote limekuwa- likitumia Marekani na vyombo vya habari kama kifuniko cha uhalifu wao wa kivita.
 
Hamas wameishatuma majina Natenayahu sijui anataka majina gani tena anaumia sana maana moja ya merengo yake ya vita kuwarudisha mateka Israel kwa kuwakomboa sasa anapewa masharti na Hamas.
Aisee hamas wanampa Netanyahu mashari hadi Netanyahu anachafukwa kabisa.Kwenye hii vita hamas kashinda hatari hatari
 
Hizo story sijui Entebe, vita siku 6 za uonga tu zamani kulikuwa hamna madia zaidi za kwao walikuwa wanajisifia tu, ukweli ni huu hapo Gaza.

Dunia yote wameona kaeneo kama Gaza wana kila kitu nwaka na nusu hamna la maana zaidi ya kuuwa watoto na kubomoa nyumba.
Israel hawezi kitu kabisa.Waarabu wamemchakaza vibaya sana hana ham kabisa
 
⚡️BREAKING: Wanahabari wa redio wa jeshi la Israeli Doron Kadosh:

Wakati Israel ikiendelea kusubiri orodha ya watu waliotekwa nyara, hizi ndizo picha muhimu zaidi kuona hivi sasa kutoka Ukanda wa Gaza:

Hamas wakiwa kwenye magari yao ya kubebea mizigo, wakiwa na vitambaa vya kijani kibichi, na polisi wa Hamas waliovalia sare za polisi wa Gaza - wanasambaza tena Ukanda mzima, kwa shangwe za umati.

Hamas, ambayo hakuna wakati wowote katika vita hivyo ilipoteza udhibiti wake au kushikilia sehemu yoyote ya Ukanda wa Gaza (isipokuwa kwa maeneo ambayo yalihamishwa kabisa), inachukua fursa ya masaa haya kuimarisha na kuimarisha umiliki wake na utawala juu ya raia wa Gaza. .

Israel iliondoa vikosi kutoka Beit Hanoun, kutoka Jabalia, kutoka Beit Lahia, kutoka Rafah ya kati - na wakati huo huo Hamas imepanga tena na inaendelea kudhibiti idadi kubwa ya raia.

Hata baada ya mwaka mmoja na miezi mitatu, Israel bado haijafanikiwa kuusambaratisha utawala wa Hamas huko Gaza na kutafuta serikali mbadala.


View: https://x.com/suppressednws/status/1880888512318214540?s=46&t=mTROWpaJUT8H393JMgWOvw
 
⚡️BREAKING:

The list of Israeli captives has reached Israel.—Channel 12 Hebrew.
 
Urgent | Quds translation: "Ben Gvir" and other ministers from his party officially submit their resignation from the occupation government.
 
Hamas says it has now provided Israel w/ the list of the captives to be released today.

Israel added a condition not stipulated at all in the agreement. What happens if a similar situation occurs for the next batch to be released?

In any event, ceasefire in full effect shortly.
 
Israel hawezi kitu kabisa.Waarabu wamemchakaza vibaya sana hana ham kabisa
BREAKING: Abu Obaida, the military spokesperson for the Al-Qassam Brigades, announced that as part of the prisoner exchange deal, the Al-Qassam Brigades has decided to release the following Israeli prisoners today, Sunday, January 19, 2025:

1. Rumi Jonin (24 years old)
2. Emily Damari (28 years old)
3. Doron Shtanber Kheir (31 years old)
 
Kuhusu kuwekewa chip au GPS sio rahisi maana teknolojia ipo ya kubaini mtu aliyewekewa vifaa hivyo. Sema ninachofikiri mimi Israel lengo lake ni kuwapata mateka wake , hivyo akishafanikiwa kuwapata tutasikia amerudi kuitwanga tena Gaza.
Pia kutokana na jinsi waarabu walivyo wasaliti na rahisi kurubuniwa inawezekana tayari deal limefanyika baina ya Israel na baadhi ya mateka wa kipalestina kuwahakikishia maisha mazuri na Mshiko wa maana kama watakubali kuwa mawakala wao. Hao hao mateka wa kipalestina ndio watakaokuwa wanauza ramani na mipango ya wenzao. Asilimia kubwa ya waarabu husalitiana wao wenyewe

Hapo kwenye hoja yako ya pili... kuna uwezekano... maana Israel moja ya kufanikiwa kwake kwenye campaign zake na hawa waarabu ni kupandikiza moles .. Iran anao so haitashangaza kama hapo palestina akawaweka
 
CEASEFIRE BEGINS 0915 GMT
 
The IDF has received an order to cease fire in Gaza.

And Israel’s PMO says the ceasefire will go into effect at 11.15am local (9.15 GMT) - 8 minutes from now.

Full respite for Gaza on the way.

God willing it holds.
 
🚨🇮🇱BEN-GVIR IS OUT - RESIGNATIONS ROCK NETANYAHU’S GOVERNMENT

Extreme-right National Security Minister Itamar Ben-Gvir and 2 other ministers have resigned in protest over the ceasefire deal with Hamas.

Ben-Gvir, leader of the Otzma Yehudit party, is known for his hardline nationalist stance, has caused a lot of drama, and made headlines for his extreme outbursts over the years.

Source: CGTN, X
 
Back
Top Bottom