Ritz
JF-Expert Member
- Jan 1, 2011
- 51,303
- 40,190
- Thread starter
- #41
Israel imewateka nyara zaidi ya watoto 13,000 tangu mwaka 2000, kuwaweka jela na kuteswa, kunyanyaswa kingono, kupigwa na kudhalilishwa. Hili ni taifa la mauaji ya halaiki, la kigaidi na siku zote limekuwa- likitumia Marekani na vyombo vya habari kama kifuniko cha uhalifu wao wa kivita.