Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Zoezi la uhakiki wa taarifa bank ya NMB ni kero kwakweli, foleni ni ndefu kila branch, watendaji hawajipanga, inchukua hadi dk 20 kwa mtu mmoja kuhudumiwa na wahudumu kwa kila branch ni mmoja.
Mara waseme mtandao unasumbua kwahyo mshine inachelewa.
Nimezunguka NMB branch zote Dodoma, msururu wa foleni ni mrefu, uwe umekula umeshiba n uwe n nguvu za kusimama ili kusibiri foleni yako ifike.
Wajipange upya na waongeze muda wa zoezi.
Hivi tunahakiki nini kwani? Kupotezeana muda tuZoezi la uhakiki wa taarifa bank ya NMB ni kero kwakweli, foleni ni ndefu kila branch, watendaji hawajipanga, inchukua hadi dk 20 kwa mtu mmoja kuhudumiwa na wahudumu kwa kila branch ni mmoja.
Mara waseme mtandao unasumbua kwahyo mshine inachelewa.
Nimezunguka NMB branch zote Dodoma, msururu wa foleni ni mrefu, uwe umekula umeshiba n uwe n nguvu za kusimama ili kusibiri foleni yako ifike.
Wajipange upya na waongeze muda wa zoezi.
Mm niliisha achana nao.nikakomba pesa yangu nikapeleka crdb preassure imepunguaZoezi la uhakiki wa taarifa bank ya NMB ni kero kwakweli, foleni ni ndefu kila branch, watendaji hawajipanga, inchukua hadi dk 20 kwa mtu mmoja kuhudumiwa na wahudumu kwa kila branch ni mmoja.
Mara waseme mtandao unasumbua kwahyo mshine inachelewa.
Nimezunguka NMB branch zote Dodoma, msururu wa foleni ni mrefu, uwe umekula umeshiba n uwe n nguvu za kusimama ili kusibiri foleni yako ifike.
Wajipange upya na waongeze muda wa zoezi.
Hayo ndio maajabu ya hawa ndugu zetu NMB, mnayo NIDA namba yangu, mnataka nini tena??Haiwezekani kadi nimefungua mwaka jana, mwezi wa 11 nikiwa na no. yangu ya nida. Leo tena waniite nieende na nini sasa na fuvu la baba yangu mzazi au
nikakae kwenye foleni ya kazi gani akaunti haina hela,kwani nisipohakiki kunashida ganiZoezi la uhakiki wa taarifa bank ya NMB ni kero kwakweli, foleni ni ndefu kila branch, watendaji hawajipanga, inchukua hadi dk 20 kwa mtu mmoja kuhudumiwa na wahudumu kwa kila branch ni mmoja.
Mara waseme mtandao unasumbua kwahyo mshine inachelewa.
Nimezunguka NMB branch zote Dodoma, msururu wa foleni ni mrefu, uwe umekula umeshiba n uwe n nguvu za kusimama ili kusibiri foleni yako ifike.
Wajipange upya na waongeze muda wa zoezi.
tunaelekea kwenye uchaguzi wanataka kujua mabulungutu ya mapesa yatapitia kwenye akaunti yananWanahakiki taarifa ili iweje?
Na kwa nn wafanye hivyo.
Hii benki ya NMB ni wapuuzi sana aisee
Mkuu jitahidi uhakiki, tarehe zetu zile usije kwama kwenye ule uzi wetu mwingine pendwaMimi watakuja wao.
Kwa nini unamiliki account haina hela? Baki na mpesa tunikakae kwenye foleni ya kazi gani akaunti haina hela,kwani nisipohakiki kunashida gani
Kama unapitishia mshahara utaenda tu. Baada ya trh 31 zinakuwa temporary closed ili watu wakahakiki. But kutakuwa na usumbufu tu ila permanent close haitatokea kwa account zenye pesa.mimi siendi na hapo NMB ndo mshahara wangu unapoingizwa.
wanahakiki nini wakati Nida yangu inazo taarifa zote?
Huwa nachukia sana kuona pesa zangu zikinitesa.
sawa nilifungua wakati nasoma chuo kikubwa,kwa sasa nipo kijijini nakibubu changu airtel na mpesaKwa nini unamiliki account haina hela? Baki na mpesa tu