Taarifa zakoNina akunti NMB ila sijapata huo ujumbe ,wanahakiki nini kwani?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Taarifa zakoNina akunti NMB ila sijapata huo ujumbe ,wanahakiki nini kwani?
Unafuata nini benki ni wasumbufu sana ukipata tatizo la ghafla na pesa zipo benki utalia weka pesa ndani mahali pa siri inakuwa siri yako mwenyewe asijue mtu yeyote na kwenye simuZoezi la uhakiki wa taarifa bank ya NMB ni kero kwakweli, foleni ni ndefu kila branch, watendaji hawajipanga, inchukua hadi dk 20 kwa mtu mmoja kuhudumiwa na wahudumu kwa kila branch ni mmoja.
Mara waseme mtandao unasumbua kwahyo mshine inachelewa.
Nimezunguka NMB branch zote Dodoma, msururu wa foleni ni mrefu, uwe umekula umeshiba n uwe n nguvu za kusimama ili kusibiri foleni yako ifike.
Wajipange upya na waongeze muda wa zoezi.
😄 siasa tenaMaswali yao sasa
Umeoa?
Kipato chako kwa mwaka!?
Umewahi kujihusisha na siasa?
AchaZoezi la uhakiki wa taarifa bank ya NMB ni kero kwakweli, foleni ni ndefu kila branch, watendaji hawajipanga, inchukua hadi dk 20 kwa mtu mmoja kuhudumiwa na wahudumu kwa kila branch ni mmoja.
Mara waseme mtandao unasumbua kwahyo mshine inachelewa.
Nimezunguka NMB branch zote Dodoma, msururu wa foleni ni mrefu, uwe umekula umeshiba n uwe n nguvu za kusimama ili kusibiri foleni yako ifike.
Wajipange upya na waongeze muda wa zoezi.
Yaani mimi sitaki kusikia habari ya benki na siwezi kuweka pesa benkiMaswali yao sasa
Umeoa?
Kipato chako kwa mwaka!?
Umewahi kujihusisha na siasa?
hata siendi labda waje wao niwahakikiTaarifa zako
Leo umekoment mdau..Kuweka pesa bank ni mindset 😄
Isije wakawa wanaandaa kodi mpyaMaswali yao sasa
Umeoa?
Kipato chako kwa mwaka!?
Umewahi kujihusisha na siasa?
Ndiyo, tunawaringishia wengine waone tulivyo na nyomiNMB ,CRDB wanapenda misongamano,wao wanaona ufahari wateja wao wakikanyagana ndani mule
Ova