KERO Zoezi la uhakiki wa taarifa NMB

Hii ni kero ambayo mwananchi ameiwasilisha JF akitaka wahusika kuchukua hatua
Wanahakiki taarifa ili iweje?

Na kwa nn wafanye hivyo.

Hii benki ya NMB ni wapuuzi sana aisee
Exactly ni wapuuzi. Eti mtu kafungua account hajamaliza hata mwezi una hakiki , una hakiki kitu gani??? Some time nikupotezeana muda tu. Mambo ya kizamani sana .....Nmb badilikeni otherwise mtakosa wateja ....kama mnafanya utafiti watu wengi wana kimbia Nmb kwasababu ya usumbufu
 
Bongo kila siku ni kuchukuliwa finger prints, kila sehemu halafu unaambiwa ni kuhakikisha namba ya nida, sasa finger prints za nini wakati ziko Nida?

Walipaswa watumie watu link waingie kuhakiki taarifa zao, nilienda branch 2 nikakuta ni ujinga kama huo nikaachana na hiyo biashara. Nimeona wamwongeza muda ila sitaenda pia.

Haiwezekani ulimwengu wa sasa unataka niende branch physically?
 
Umeshasema wilaya nzima tawi la benki ni moja. Hakuna namna pambaneni na NMB.
 
Vijana wa siku hizi hamna ubunifu enzi zetu tulikuwa tunaweka mawe kama foleni kusubiri unga wa Yanga national milling na kwenye kusubiri sukari utafikiri unapewa bure then unaenda kupiga mishe jiwe linakuwa linasogezwa tu no kupoteza muda ukirudi unakuta jiwe lipo namba 2 unakaa dk 2 unahudumiwa unaenda sasa ninyi mnashinda Nyerere square
 
Niliwauliza why mnafanya hivi wakasema moja ya kitu hawataki ni kuchukuliana fedha kwenye mashine hivyo soon wataondoa PIN ibaki FP
 
Niliwauliza why mnafanya hivi wakasema moja ya kitu hawataki ni kuchukuliana fedha kwenye mashine hivyo soon wataondoa PIN ibaki FP
Mashine zao zote zina FP Option ama watabadili walete mpya?

Whatever it will be, FP tayari ziko Nida, wanataka nikachukuliwe nyingine za nini?

Lakini pia PIN is the easiest way, FP zina usumbufu sababu ya mitandao yetu. Ngoja tusubiri.
 
🀣🀣
 
Nitahamia huko
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…