Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nani avae watu wapi kma kawaida tuWatanzani wana roho ngumu, hawaogopi kabisa kufa. We fikiria tu tunavyokana bila zana huku mtaani yaani! Kama hamna ugonjwa wowote!
Kwa matamko yasiyo serious kama haya ya Waziri Gwajima na nyongeza ya maneno ya kejeli ya kaka yake wa kufikia Askofu Gwajima usitegemee la maana kwa sasa. Maisha ni yako na wachangiaji makini wa JF bado tunakuhtaji utuchallenge na tukuchallenge, hivyo VAA BARAKOA.Wakuu kufautia tangazo la Serikali kwamba marufuku mtu kupanda kwenye chombo cha usafiri bila barakoa, vipi linazingatiwa huko uliko?
Mimi huku daladala za Gongo la Mboto hamna kitu, maisha ni kama zamani tu.
Kwani ni corona tu inaua??? Msitishe watu bhana, mbona watu wanakufa kila siku na ajali, na magonjwa mengine, mbona mnaikuza sana corona??? Mm na familia yangu nilishaawambia hamna cha barakoa wala chanjo hapa!! YESU muumba mbingu na nchi aliyetuvusha 2020 ataendelea kutulinda hata leoWatanzani wana roho ngumu, hawaogopi kabisa kufa. We fikiria tu tunavyokana bila zana huku mtaani yaani! Kama hamna ugonjwa wowote!
Hawakutumbaza mbali walitutoa akili!! Ni mtu ambae haelewi ndiye atakayeshabikia chanjo na corona!!Watanzania tulishapumbazwa na utawala uliopita kuhusu Corona.
Barakoa!! Jana pale Kigoma mashabiki walivaa barakoa?? Mimi hata barakoa sina mpango wa kuvaa.Kwa matamko yasiyo serious kama haya ya Waziri Gwajima na nyongeza ya maneno ya kejeli ya kaka yake wa kufikia Askofu Gwajima usitegemee la maana kwa sasa. Maisha ni yako na wachangiaji makini wa JF bado tunakuhtaji utuchallenge na tukuchallenge, hivyo VAA BARAKOA.
Hayo ni matamko kuonesha tunafuata matamshi ya watoa misaada. Wewe amua mwenyewe kama unaona barakoa ni muhimu kwako.Wakuu kufautia tangazo la Serikali kwamba marufuku mtu kupanda kwenye chombo cha usafiri bila barakoa, vipi linazingatiwa huko uliko?
Mimi huku daladala za Gongo la Mboto hamna kitu, maisha ni kama zamani tu.
Hatuvai hayo mataka takaWakuu kufautia tangazo la Serikali kwamba marufuku mtu kupanda kwenye chombo cha usafiri bila barakoa, vipi linazingatiwa huko uliko?
Mimi huku daladala za Gongo la Mboto hamna kitu, maisha ni kama zamani tu.