Zoezi la Yanga kuandikisha wanachama kigiditali limepigwa na kitu kizito Zanzibar

Inawezekana mashabiki wa Yanga waliopo mitandao ni wachache ukilinganisha na wale wa Simba. Lkn ni kwann Yanga inatajwa zaidi mitandaoni?
 
Inawezekana mashabiki wa Yanga waliopo mitandao ni wachache ukilinganisha na wale wa Simba. Lkn ni kwann Yanga inatajwa zaidi mitandaoni?
Thread nzima wanajibizana wao kwa wao last season walisema kombe la mapinduzi ni bonanza sasa hivi wanalitaka tume waachia wachukue wao
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…