Zoom picha hii kisha tuijadili kwa utulivu sana, ni nini kinaendelea kwenye vichwa vya wanawake?

Zoom picha hii kisha tuijadili kwa utulivu sana, ni nini kinaendelea kwenye vichwa vya wanawake?

hapo kuna mawili
1. kwakua yupo kwenye pikipiki na upepo mkali hiyo nguo aliovaa juu ikawa inapepea hivyo kupanda na kuonyesha hiyo suruali laini inayoonyesha mpka chupi ila akishuka na nguo itamsitiri hawez tembea hivyo .
2. dada zetu wanajiachia sana hawatembei hata na kanga siku hizi kwahyo inaweza ikawa anatangaza biashara.
cha msingi ni kuwa makini wale wanaotuzunguka ni kuwawekea mazingira wasiwe kama wanawake wasio jielewa nikiongelea wanaotuzunguka ni watt wetu dada au wadogo zetu ws kike.
ONYO; USIJE UKAMKUTA MDADA MTAANI KAVAA HIVYO UKAANZA KUMKARIPIA KUTOKANA NA VAZI LAKE UNAJITAFTIA MATATIZO AMBAYO HAKUNA ATAKAYE WEZA KUKUTETEA
 

Wanamke kutamani kutembea uchi ama kuonesha maumbile na makalio yao:-
(a) Wanasukumwa na nini nafsini mwake?
(b) Lengo lao ni nini?
(c) Ili wapate nini?
Hapo nadhani amevaa kigauni kifupi ila kutokana na upepo wa barabarani kikapepea, huenda sio kusudio lake kubaki hivyo. Ila ni vizuri wakavaa nguo zinazositiri maungo yao vizuri hata kama ni kwenye hali mbaya.
 
Kikubwa dereva wa boda hajui kinachoendelea maana angeshaenda kuivaa semi
Wacha nicheke kwa sauti

Kwa Dunia tulionayo Leo wavaao hivyo ndio wasomi wetu

Jiswalika je elimu waliyonayo imewasaidia Ili kuweza kuishi na jamii inayowazunguka ?
 

Wanamke kutamani kutembea uchi ama kuonesha maumbile na makalio yao:-
(a) Wanasukumwa na nini nafsini mwao?
(b) Lengo lao ni nini?
(c) Ili wapate nini?
Sioni tatizo hapo. Hiyo ni chupi tu whats the big deal au hujawahi kuona chupi? Sifahamu ni vipi utasema kuwa anatembea uchi ilhali unaona kabisa kuwa amefunika uchi wake! Au jamani nyie wengine paja pia ni uchi kwenu?
 
Sioni tatizo hapo. Hiyo ni chupi tu whats the big deal au hujawahi kuona chupi? Sifahamu ni vipi utasema kuwa anatembea uchi ilhali unaona kabisa kuwa amefunika uchi wake! Au jamani nyie wengine paja pia ni uchi kwenu?
huoni tatizo nawakati hadi taulo ya kike imejitokeza hapo inaonekana we vp
 
huoni tatizo nawakati hadi taulo ya kike imejitokeza hapo inaonekana we vp
Mimi niko poa kabisa hapa. Kwanza nakuhakikishia hiyo sio taulo ya kike pili ndugu yangu huku tuliko wenzako mbona tumezoea kuona zaidi ya hayo na sio kitu kabisa! nguo za see through na kuonekana kwa mapaja sio ajabu huku ulaya na ndio nikasema sioni tatizo hapo, wewe unatizama tu!
 
Nimeipenda hii picha, itakuwa mbaya kama aliyevaa huwezi kulala naye (ndugu yako), wengine washaipigia puchu humu 🤣
 
Back
Top Bottom