Zoom picha hii kisha tuijadili kwa utulivu sana, ni nini kinaendelea kwenye vichwa vya wanawake?

Zoom picha hii kisha tuijadili kwa utulivu sana, ni nini kinaendelea kwenye vichwa vya wanawake?

Sioni tatizo hapo. Hiyo ni chupi tu whats the big deal au hujawahi kuona chupi? Sifahamu ni vipi utasema kuwa anatembea uchi ilhali unaona kabisa kuwa amefunika uchi wake! Au jamani nyie wengine paja pia ni uchi kwenu?
Kweli bana wa hivi tukiwaachia achia hovyo watasema na chupi zilee zinazouzwa dukani zifunikwe!..na majani! yaani chupi lkn inauzwa km Gongo!....asa hapo kwa huyo mdada si ni chupi tu! km zile za kwa masanamu wa ama dukani??
 
hapo kuna mawili
1. kwakua yupo kwenye pikipiki na upepo mkali hiyo nguo aliovaa juu ikawa inapepea hivyo kupanda na kuonyesha hiyo suruali laini inayoonyesha mpka chupi ila akishuka na nguo itamsitiri hawez tembea hivyo .
2. dada zetu wanajiachia sana hawatembei hata na kanga siku hizi kwahyo inaweza ikawa anatangaza biashara.
cha msingi ni kuwa makini wale wanaotuzunguka ni kuwawekea mazingira wasiwe kama wanawake wasio jielewa nikiongelea wanaotuzunguka ni watt wetu dada au wadogo zetu ws kike.
ONYO; USIJE UKAMKUTA MDADA MTAANI KAVAA HIVYO UKAANZA KUMKARIPIA KUTOKANA NA VAZI LAKE UNAJITAFTIA MATATIZO AMBAYO HAKUNA ATAKAYE WEZA KUKUTETEA
Hata dada dada yangu siwezi mkalipia akivaa hivyo ata atoke na kanga kwenda mbali siwezi mkalipia sikuhizi mambo yamebadilika ukimkalipia unakalibisha ugomvi kati yenu.

Sent from my SM-A207F using JamiiForums mobile app
 
Inawezekana aliyepigwa picha ni mwanamke.

Lakini je.

Hii picha ndiyo inawakilisha wanawake?

That's a logical non sequitur.

Ni kama vile ukute Muafrika mmoja anakula mavi, halafu umpige picha na kuhoji ni nini kinaendelea katika vichwa vya waafrika.

Inawezekana anakula mavi kwa sababu ni kichaa, si kwa sababu ni Muafrika.

Kuhoji kwako Waafrika kwa picha hiyo kutaonesha matatizo yako wewe kuweza kujenga hoja ya kimantiki, au hata ubaguzi wa rangi wako mwenyewe, kuliko matatizo ya Waafrika.

Kama vile ambavyo kuhoji wanawake kwa picha moja kunaweza kuonesha matatizo yako wewe kujenga hoja ya kimantiki, au hata misoginy yako (chuki dhidi ya wanawake) kuliko tatizo lililopo kwa wanawake.
 
Kweli bana wa hivi tukiwaachia achia hovyo watasema na chupi zilee zinazouzwa dukani zifunikwe!..na majani! yaani chupi lkn inauzwa km Gongo!....asa hapo kwa huyo mdada si ni chupi tu! km zile za kwa masanamu wa ama dukani??
Khaa!!!
 
NASHUKURU SANA DADA MWENYE HII PICHA KAIONA.

KAJIONA JINSI ALIVYO JIDHALILISHA.

HIINI FUNZO KWA WENGINE.

wanawake aibu YENU.
Umalaya WENU
Uzao wa nyoka.
 
Back
Top Bottom