Kweli bana wa hivi tukiwaachia achia hovyo watasema na chupi zilee zinazouzwa dukani zifunikwe!..na majani! yaani chupi lkn inauzwa km Gongo!....asa hapo kwa huyo mdada si ni chupi tu! km zile za kwa masanamu wa ama dukani??Sioni tatizo hapo. Hiyo ni chupi tu whats the big deal au hujawahi kuona chupi? Sifahamu ni vipi utasema kuwa anatembea uchi ilhali unaona kabisa kuwa amefunika uchi wake! Au jamani nyie wengine paja pia ni uchi kwenu?
Hakuna bajaji wala cha pikipiki huku! magari ni mengi ya humu humu!!! wanalinda biashara ya ndani!ni 'Sauzi Afrika', Durban.
Bahati mbaya ya makusudi labdaHiyo ni bahati mbaya tu upepo umefunua gauni lake.
Hata dada dada yangu siwezi mkalipia akivaa hivyo ata atoke na kanga kwenda mbali siwezi mkalipia sikuhizi mambo yamebadilika ukimkalipia unakalibisha ugomvi kati yenu.hapo kuna mawili
1. kwakua yupo kwenye pikipiki na upepo mkali hiyo nguo aliovaa juu ikawa inapepea hivyo kupanda na kuonyesha hiyo suruali laini inayoonyesha mpka chupi ila akishuka na nguo itamsitiri hawez tembea hivyo .
2. dada zetu wanajiachia sana hawatembei hata na kanga siku hizi kwahyo inaweza ikawa anatangaza biashara.
cha msingi ni kuwa makini wale wanaotuzunguka ni kuwawekea mazingira wasiwe kama wanawake wasio jielewa nikiongelea wanaotuzunguka ni watt wetu dada au wadogo zetu ws kike.
ONYO; USIJE UKAMKUTA MDADA MTAANI KAVAA HIVYO UKAANZA KUMKARIPIA KUTOKANA NA VAZI LAKE UNAJITAFTIA MATATIZO AMBAYO HAKUNA ATAKAYE WEZA KUKUTETEA
🙄🙄Duuu!!Sioni tatizo hapo. Hiyo ni chupi tu whats the big deal au hujawahi kuona chupi? Sifahamu ni vipi utasema kuwa anatembea uchi ilhali unaona kabisa kuwa amefunika uchi wake! Au jamani nyie wengine paja pia ni uchi kwenu?
Khaa!!!Kweli bana wa hivi tukiwaachia achia hovyo watasema na chupi zilee zinazouzwa dukani zifunikwe!..na majani! yaani chupi lkn inauzwa km Gongo!....asa hapo kwa huyo mdada si ni chupi tu! km zile za kwa masanamu wa ama dukani??