TANZIA Zuchi Zuchero, mpiga picha na Mwandishi wa Habari afariki kwa ajali

TANZIA Zuchi Zuchero, mpiga picha na Mwandishi wa Habari afariki kwa ajali

Baada ya wiki mbili kumzika ndg yangu nikapata dharula ya haraka na kwa usafiri wa town ningechelewa basi kabla sijapanda niliwapigia ndg wa karibu wajue naelekea wapi na namba ya pikipiki nikawatumia, yule boda aliendesha kwa makini kweli nikajisemea mngeendesha hivi siku zote mngepungukiwa nini
Pole sana rafiki yetu
 
Dereva kapelekwa hospt, kwann huyo zuchy hajapelekwa hadi wasubir polis waje? Maelezo hayako sawa
Usha wai pata msiba wa aina izo??!

Unajua MTU akipata ajari kwanini huenda polisi kuchukua PF3??! Before hajapelekwa hospital??!

Eg. Mtu akichomwa kisu, kujinyonga, akinywa sumu, kujifungia nyumbani na kukutwa amevuja damu nyingi lazima walinzi wa amani wahusike in short

Uliza kingine
 
Ajali imetokea jana usiku mida ya saa 8 nadhani, boda boda wa mbezi wamefika eneo la tukio wanawapigia simu polisi kuwapa maelezo ya tukio ili wafike kwa wakati lakini ajabu jibu walilotoa askari linafikirisha sana..

Jibu walilotoa polisi walisema Gari yao haina MAFUTA ☹️,boda boda ilibidi waustili mwili vizuri ili hali ukiendelea kubakia eneo lile ukinyeshewa na mvua😢, mpaka ilipofika leo mida ya saa 4 asubuhi ndipo askari waliweza kufika eneo la tukio na kuutoa mwili wa marehemu kuupeleka hospitali.

TUKIO LA JANA NI UDHIHIRISHO TOSHA KUWA TUNA ASKARI WASIOKUWA NA WELEDI WOWOTE NA KAZI YAO 😒😠


"""Dah Zuchi, Mungu amlaze mahala pema peponi 🙏 nakumbuka wakati na Show ya #ThePlaylist ikabidi nitafute mtu mkali wa kufanya nae Professional Photoshoot nikakutana na Zuchi kipindi iyo anajitafuta na Studio yake Mwenge ndani ndani!

Akawasha midude hatari sana na kutokea apo ikawa kila kazi tunapiga nae na watu wakibao wakamuamini zaidi, njaa yake ya kutamani kupiga picha kali ikampeleka mpaka kwa Millard na kufanya kazi kupitia Ayotv, Pole sana @millardayo pole kwa familia, ndugu na jamaa 🙏 M/Mungu amlaze mahala pema peponi 🙏. """Lulyommy

View attachment 2974681
Polisi ya Tanzania inapokea maagizo kutoka juu kwa utimamu wote.

Sisi walalahoi hatuna mtetezi
 
Si yeye si boda hakuna mwenye makosa kati yao lakini issue ya police kupuuza taarifa za Ajari iliyosababisha kifo barabarani ni Dharau na Ujinga Mkubwa hata kama kagongwa Nguruwe.
 
Inategemea! Kama ni emergency mfano unawahi airport then unakuta foleni haitembei inabidi tu uchukue boda
Unaweza hata usifike huko airport. Halafu wanaogongwa wengi wala hawako kwenye hizo emergency kama kuwahi airport etc. Wengi huwa ni misele social tu kuwahi beer za bure au kwenda nyumbani kutoka kazini.
 
Apo aliyemgonga utakuta alikua amelewa,na saivi yupo bar anakunywa bia,hakuna anayemkumbuka,lawama zote zipo upande wa polis kwa kuchelewa kuhukua mwili,upande wa pili wa chanzo cha ajali kama kuna uzembe mahali,unazimwa kwa kubebeshwa lawma polisi pekee,
Utakuta anayefanya hivyo analengo maalumu anawajua wabongo walivyoo,wakwanza kubebeshwa lawama wanapita naye uyo uyo.
Utaona apo ata mwili ukichukuliwa saa 11 kasoro asubuhi,mtoa mada anaandika saa 4 asubuhi.
Kwanza kuendesha bodaboda kwenye highway ni risk sema tu serikali haitaki kusema hili. Mtu anafunguka speed 90 halafu bodaboda Yuko katikati ya gari na gari akikugusa hata kidogo lazima ulambe lami.


Ni vile tu serikali inatuacha tufe kama miziga ila bodaboda haikupaswa iwe usafiri wa umma. Hatuna miundombinu ya kuiaccommodate.
 
Inategemea! Kama ni emergency mfano unawahi airport then unakuta foleni haitembei inabidi tu uchukue boda
Sijawahi kusikia mtu kaenda Uwanja wa ndege kachekewa ndege halafu akagongwa.


Diamond alishawahi kupanda boda kisa kachelewa flight na Mo DEWIJ pia
 
Kwanza kuendesha bodaboda kwenye highway ni risk sema tu serikali haitaki kusema hili. Mtu anafunguka speed 90 halafu bodaboda Yuko katikati ya gari na gari akikugusa hata kidogo lazima ulambe lami.


Ni vile tu serikali inatuacha tufe kama miziga ila bodaboda haikupaswa iwe usafiri wa umma. Hatuna miundombinu ya kuiaccommodate.
Hivi mnafahamu wateja wa visungura ni kina nani?

Tujitahidi kutumia bajaj inapobidi ni salama.

Hawa bodaboda, unakuta amevaa ndala amenyanyuwa mguu mmoja, halafu amefungulia singeli volume mpaka mwisho na kwenye bomba la moshi sijui huwa wanaweka nini inaripuka kama bomu halafu bado mtu na akili zako unakubali kubebwa na kichaa kama huyo?
 
Ajali imetokea jana usiku mida ya saa 8 nadhani, boda boda wa mbezi wamefika eneo la tukio wanawapigia simu polisi kuwapa maelezo ya tukio ili wafike kwa wakati lakini ajabu jibu walilotoa askari linafikirisha sana..

Jibu walilotoa polisi walisema Gari yao haina MAFUTA ☹️,boda boda ilibidi waustili mwili vizuri ili hali ukiendelea kubakia eneo lile ukinyeshewa na mvua😢, mpaka ilipofika leo mida ya saa 4 asubuhi ndipo askari waliweza kufika eneo la tukio na kuutoa mwili wa marehemu kuupeleka hospitali.

TUKIO LA JANA NI UDHIHIRISHO TOSHA KUWA TUNA ASKARI WASIOKUWA NA WELEDI WOWOTE NA KAZI YAO 😒😠


"""Dah Zuchi, Mungu amlaze mahala pema peponi 🙏 nakumbuka wakati na Show ya #ThePlaylist ikabidi nitafute mtu mkali wa kufanya nae Professional Photoshoot nikakutana na Zuchi kipindi iyo anajitafuta na Studio yake Mwenge ndani ndani!

Akawasha midude hatari sana na kutokea apo ikawa kila kazi tunapiga nae na watu wakibao wakamuamini zaidi, njaa yake ya kutamani kupiga picha kali ikampeleka mpaka kwa Millard na kufanya kazi kupitia Ayotv, Pole sana @millardayo pole kwa familia, ndugu na jamaa 🙏 M/Mungu amlaze mahala pema peponi 🙏. """Lulyommy

View attachment 2974681
Hivi wewe ni fundi manyumba yule chawa wa Diamond?
 
Back
Top Bottom