Dr Matola PhD
JF-Expert Member
- Oct 18, 2010
- 60,050
- 104,466
Ni National na Panasonic.Ayo tv ni clouds?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ni National na Panasonic.Ayo tv ni clouds?
Nakubali dar kuna jam sana kuliko mwanza lakini point yangu ni kwamba boda boda wengi wa dar nivijana wadogo hawapo makini na hawafati sheria za barabarani kulinganisha na mwanza boda boda wengi ni watu wazima wana majukumu. Ndio maana nikakuuliza kutoka kimara mpaka kibaha kuna jam gani? Kuna ajari ilitokea pale kimara round about boda boda mbili zilipita katikati ya semi tela mbili ile madereva wa semi wanakata kona boda zote zikabanwa katikati walibanwa wote pamoja na abiria wote walikufa sasa hao bodaboda utaniambia walikua wanajielewa kweli?Japo na miaka 7 sijaja home (mza) Ila hapo mwanza hata mataa ya barabarani yapo wapi labda buzuruga E.T.C
Huwezi fananisha pilika pilika za BODABODA na MAGARI na WATU Between DAR ES SALAM na MWANZA......
Jumapili hapo mwanza ukiwa maeneo ya mecco hakuna VIPANYA (DALADALA)
mwanza bado Sanaa huwezi compare na dar es salama
Alipqsuka kichwa na shingo kuvunjikaAlivunjika?
Asante Anne nishapoqDuh poleni sana[emoji22]
Anaendeleajee lakiniAlipqsuka kichwa na shingo kuvunjika
Ni sahihiNakubali dar kuna jam sana kuliko mwanza lakini point yangu ni kwamba boda boda wengi wa dar nivijana wadogo hawapo makini na hawafati sheria za barabarani kulinganisha na mwanza boda boda wengi ni watu wazima wana majukumu. Ndio maana nikakuuliza kutoka kimara mpaka kibaha kuna jam gani? Kuna ajari ilitokea pale kimara round about boda boda mbili zilipita katikati ya semi tela mbili ile madereva wa semi wanakata kona boda zote zikabanwa katikati walibanwa wote pamoja na abiria wote walikufa sasa hao bodaboda utaniambia walikua wanajielewa kweli?
We alikufa papo hapoAnaendeleajee lakini
Poleni sanaa.. very sadWe alikufa papo hapo
Unao wazungumzia si ndo km huyo kwa avatar yako, [emoji23][emoji23][emoji23]Nimekaa dar miaka 8 ilikua haiwezi kupita siku bodaboda hajagongwa morogoro road kila siku ni vifo vya boda boda ila nilipokuja mikoani mfano jiji la mwanza nimekaa mda sana sinawahi kuona ajali ya boda boda hata siku moja kwanza ile kuovertake kijinga jinga na mispeed ya kipuuzi huku hamna. Boda boda wa huku ni watu wazima, hawa wanyoa viduku sijawaona. Tatizo la dar boda boda wengi ni vijana wadogo walevi, wavuta bangi sijui nisemeje ila hawako makini kabisa barabarani ndio maana kila siku ni ajari tuu za kijinga.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Ni National na Panasonic.
Hawezi kuelewa. Naamini hata wewe wakati ukiambiwa achana na bodaboda ulikuwa huelewi.Usipande mkuu
😂😂😂😂 eee umepita humo humo miss.Unao wazungumzia si ndo km huyo kwa avatar yako, [emoji23][emoji23][emoji23]
Wamechange title, kua mpoleAyo tv ni clouds?
Pole sana.Acha imemmaliza mdogo wangu mwezi feb kama kufumba na kufumbua tu alikuwa mchapakazi kweli kweli
Tulia weweeeKijan Ana jina zuri tu ila anajihita zuchi nin maana yake lkn dah
Ampumzike kwa amani lkn
KwaniKama unatumia Bodaboda hasa maeneo ya mjini tuzingatie sana
1. Usipande bodaboda isiyokuwa na vioo vya pembeni (saiti mira) – side mirror
Pikipiki ambayo haina vioo vya pembeni, dereva haoni gari linalokuja nyuma au hata akitaka kupinda, haoni nyuma hivyo uwezekano wa kugongwa ni mkubwa sana; ni suala la muda tu wala haijalishi uzoefu. Kama unajali uhai wako na familia yako, zingatia sana hii
2. Usipande pikipiki ambayo dereva hajavaa Kofia/helmet
Ile kofia inakioo kinachozuia wadudu wanaoingia machoni na hata vumbi anapopishana na magari makubwa; Fikiria boda anakimbia KMS 70, halafu wadudu wamuingie machoni; ushukuru sana Mungu kama hutaishia kwenye mtaro au hata kugongwa...
Ushauri: Vile vioo vya pembeni vyote viwili havizidi shs 10,000 hivyo kama una bodaboda wako, unaweza kumnunulia/kumkopesha. Kofia ngumu ya kawaida ni kwenye shs 20,000=
Nijuavyo mimi pikipiki inanunuliwa ikiwa na hivyo vioo, sasa nitoe 10000 ya kununua vioo vya nini tena!?Kama unatumia Bodaboda hasa maeneo ya mjini tuzingatie sana
1. Usipande bodaboda isiyokuwa na vioo vya pembeni (saiti mira) – side mirror
Pikipiki ambayo haina vioo vya pembeni, dereva haoni gari linalokuja nyuma au hata akitaka kupinda, haoni nyuma hivyo uwezekano wa kugongwa ni mkubwa sana; ni suala la muda tu wala haijalishi uzoefu. Kama unajali uhai wako na familia yako, zingatia sana hii
2. Usipande pikipiki ambayo dereva hajavaa Kofia/helmet
Ile kofia inakioo kinachozuia wadudu wanaoingia machoni na hata vumbi anapopishana na magari makubwa; Fikiria boda anakimbia KMS 70, halafu wadudu wamuingie machoni; ushukuru sana Mungu kama hutaishia kwenye mtaro au hata kugongwa...
Ushauri: Vile vioo vya pembeni vyote viwili havizidi shs 10,000 hivyo kama una bodaboda wako, unaweza kumnunulia/kumkopesha. Kofia ngumu ya kawaida ni kwenye shs 20,000=
ni kweli walevi wanauwa watu sana hasa usiku wanapotoka uko kupiga gambe zao japo na boda wana mapungufu yao naoApo aliyemgonga utakuta alikua amelewa,na saivi yupo bar anakunywa bia,hakuna anayemkumbuka,lawama zote zipo upande wa polis kwa kuchelewa kuhukua mwili,upande wa pili wa chanzo cha ajali kama kuna uzembe mahali,unazimwa kwa kubebeshwa lawma polisi pekee,
Utakuta anayefanya hivyo analengo maalumu anawajua wabongo walivyoo,wakwanza kubebeshwa lawama wanapita naye uyo uyo.
Utaona apo ata mwili ukichukuliwa saa 11 kasoro asubuhi,mtoa mada anaandika saa 4 asubuhi.