TANZIA Zuchi Zuchero, mpiga picha na Mwandishi wa Habari afariki kwa ajali

TANZIA Zuchi Zuchero, mpiga picha na Mwandishi wa Habari afariki kwa ajali

Japo na miaka 7 sijaja home (mza) Ila hapo mwanza hata mataa ya barabarani yapo wapi labda buzuruga E.T.C

Huwezi fananisha pilika pilika za BODABODA na MAGARI na WATU Between DAR ES SALAM na MWANZA......

Jumapili hapo mwanza ukiwa maeneo ya mecco hakuna VIPANYA (DALADALA)

mwanza bado Sanaa huwezi compare na dar es salama
Nakubali dar kuna jam sana kuliko mwanza lakini point yangu ni kwamba boda boda wengi wa dar nivijana wadogo hawapo makini na hawafati sheria za barabarani kulinganisha na mwanza boda boda wengi ni watu wazima wana majukumu. Ndio maana nikakuuliza kutoka kimara mpaka kibaha kuna jam gani? Kuna ajari ilitokea pale kimara round about boda boda mbili zilipita katikati ya semi tela mbili ile madereva wa semi wanakata kona boda zote zikabanwa katikati walibanwa wote pamoja na abiria wote walikufa sasa hao bodaboda utaniambia walikua wanajielewa kweli?
 
Nakubali dar kuna jam sana kuliko mwanza lakini point yangu ni kwamba boda boda wengi wa dar nivijana wadogo hawapo makini na hawafati sheria za barabarani kulinganisha na mwanza boda boda wengi ni watu wazima wana majukumu. Ndio maana nikakuuliza kutoka kimara mpaka kibaha kuna jam gani? Kuna ajari ilitokea pale kimara round about boda boda mbili zilipita katikati ya semi tela mbili ile madereva wa semi wanakata kona boda zote zikabanwa katikati walibanwa wote pamoja na abiria wote walikufa sasa hao bodaboda utaniambia walikua wanajielewa kweli?
Ni sahihi
 
Nimekaa dar miaka 8 ilikua haiwezi kupita siku bodaboda hajagongwa morogoro road kila siku ni vifo vya boda boda ila nilipokuja mikoani mfano jiji la mwanza nimekaa mda sana sinawahi kuona ajali ya boda boda hata siku moja kwanza ile kuovertake kijinga jinga na mispeed ya kipuuzi huku hamna. Boda boda wa huku ni watu wazima, hawa wanyoa viduku sijawaona. Tatizo la dar boda boda wengi ni vijana wadogo walevi, wavuta bangi sijui nisemeje ila hawako makini kabisa barabarani ndio maana kila siku ni ajari tuu za kijinga.
Unao wazungumzia si ndo km huyo kwa avatar yako, [emoji23][emoji23][emoji23]
 
Kama unatumia Bodaboda hasa maeneo ya mjini tuzingatie sana

1. Usipande bodaboda isiyokuwa na vioo vya pembeni (saiti mira) – side mirror
Pikipiki ambayo haina vioo vya pembeni, dereva haoni gari linalokuja nyuma au hata akitaka kupinda, haoni nyuma hivyo uwezekano wa kugongwa ni mkubwa sana; ni suala la muda tu wala haijalishi uzoefu. Kama unajali uhai wako na familia yako, zingatia sana hii

2. Usipande pikipiki ambayo dereva hajavaa Kofia/helmet
Ile kofia inakioo kinachozuia wadudu wanaoingia machoni na hata vumbi anapopishana na magari makubwa; Fikiria boda anakimbia KMS 70, halafu wadudu wamuingie machoni; ushukuru sana Mungu kama hutaishia kwenye mtaro au hata kugongwa...

Ushauri: Vile vioo vya pembeni vyote viwili havizidi shs 10,000 hivyo kama una bodaboda wako, unaweza kumnunulia/kumkopesha. Kofia ngumu ya kawaida ni kwenye shs 20,000=
Kwani
Kama unatumia Bodaboda hasa maeneo ya mjini tuzingatie sana

1. Usipande bodaboda isiyokuwa na vioo vya pembeni (saiti mira) – side mirror
Pikipiki ambayo haina vioo vya pembeni, dereva haoni gari linalokuja nyuma au hata akitaka kupinda, haoni nyuma hivyo uwezekano wa kugongwa ni mkubwa sana; ni suala la muda tu wala haijalishi uzoefu. Kama unajali uhai wako na familia yako, zingatia sana hii

2. Usipande pikipiki ambayo dereva hajavaa Kofia/helmet
Ile kofia inakioo kinachozuia wadudu wanaoingia machoni na hata vumbi anapopishana na magari makubwa; Fikiria boda anakimbia KMS 70, halafu wadudu wamuingie machoni; ushukuru sana Mungu kama hutaishia kwenye mtaro au hata kugongwa...

Ushauri: Vile vioo vya pembeni vyote viwili havizidi shs 10,000 hivyo kama una bodaboda wako, unaweza kumnunulia/kumkopesha. Kofia ngumu ya kawaida ni kwenye shs 20,000=
Nijuavyo mimi pikipiki inanunuliwa ikiwa na hivyo vioo, sasa nitoe 10000 ya kununua vioo vya nini tena!?
 
Poleni kwa wafiwa wote, kiukweli boda boda huwa ni watu wasio zingatia sheria kabisa.
 
Apo aliyemgonga utakuta alikua amelewa,na saivi yupo bar anakunywa bia,hakuna anayemkumbuka,lawama zote zipo upande wa polis kwa kuchelewa kuhukua mwili,upande wa pili wa chanzo cha ajali kama kuna uzembe mahali,unazimwa kwa kubebeshwa lawma polisi pekee,
Utakuta anayefanya hivyo analengo maalumu anawajua wabongo walivyoo,wakwanza kubebeshwa lawama wanapita naye uyo uyo.
Utaona apo ata mwili ukichukuliwa saa 11 kasoro asubuhi,mtoa mada anaandika saa 4 asubuhi.
ni kweli walevi wanauwa watu sana hasa usiku wanapotoka uko kupiga gambe zao japo na boda wana mapungufu yao nao
 
Back
Top Bottom