Pole sana rafiki yetuBaada ya wiki mbili kumzika ndg yangu nikapata dharula ya haraka na kwa usafiri wa town ningechelewa basi kabla sijapanda niliwapigia ndg wa karibu wajue naelekea wapi na namba ya pikipiki nikawatumia, yule boda aliendesha kwa makini kweli nikajisemea mngeendesha hivi siku zote mngepungukiwa nini
Ni sahihi mkuu maana Kuna workmate Ni kaka kwangu yeye huwa Ni mwoga mwoga huwa hapandagi na hunikatazaga kupanda sikua namwelewa Ila kwa Sasa nimemwelewaHawezi kuelewa. Naamini hata wewe wakati ukiambiwa achana na bodaboda ulikuwa huelewi.
Sawa girl friend wake yuko kwa hali mbaya kama alimpenda jamaa.RIP Kaka mzurii!!
Kama vileKuna page ya media moja huko insta waliandika Zuchi afariki, nikajua Zuchu. Nilikua nishaanza kutetemeka jinsi navyomkubali sana Zuchu
Watu watumie majina unique kidogo
Usha wai pata msiba wa aina izo??!Dereva kapelekwa hospt, kwann huyo zuchy hajapelekwa hadi wasubir polis waje? Maelezo hayako sawa
Polisi ya Tanzania inapokea maagizo kutoka juu kwa utimamu wote.Ajali imetokea jana usiku mida ya saa 8 nadhani, boda boda wa mbezi wamefika eneo la tukio wanawapigia simu polisi kuwapa maelezo ya tukio ili wafike kwa wakati lakini ajabu jibu walilotoa askari linafikirisha sana..
Jibu walilotoa polisi walisema Gari yao haina MAFUTA ☹️,boda boda ilibidi waustili mwili vizuri ili hali ukiendelea kubakia eneo lile ukinyeshewa na mvua😢, mpaka ilipofika leo mida ya saa 4 asubuhi ndipo askari waliweza kufika eneo la tukio na kuutoa mwili wa marehemu kuupeleka hospitali.
TUKIO LA JANA NI UDHIHIRISHO TOSHA KUWA TUNA ASKARI WASIOKUWA NA WELEDI WOWOTE NA KAZI YAO 😒😠
"""Dah Zuchi, Mungu amlaze mahala pema peponi 🙏 nakumbuka wakati na Show ya #ThePlaylist ikabidi nitafute mtu mkali wa kufanya nae Professional Photoshoot nikakutana na Zuchi kipindi iyo anajitafuta na Studio yake Mwenge ndani ndani!
Akawasha midude hatari sana na kutokea apo ikawa kila kazi tunapiga nae na watu wakibao wakamuamini zaidi, njaa yake ya kutamani kupiga picha kali ikampeleka mpaka kwa Millard na kufanya kazi kupitia Ayotv, Pole sana @millardayo pole kwa familia, ndugu na jamaa 🙏 M/Mungu amlaze mahala pema peponi 🙏. """Lulyommy
View attachment 2974681
Inategemea! Kama ni emergency mfano unawahi airport then unakuta foleni haitembei inabidi tu uchukue bodaKwahio mkuu una risk maisha yako kwasababu ya kuchelewa 20-30minutes? Huko uendako unawahi nini muhimu kuliko uhai wako?
Vijana epukeni bodaboda.
Unaweza hata usifike huko airport. Halafu wanaogongwa wengi wala hawako kwenye hizo emergency kama kuwahi airport etc. Wengi huwa ni misele social tu kuwahi beer za bure au kwenda nyumbani kutoka kazini.Inategemea! Kama ni emergency mfano unawahi airport then unakuta foleni haitembei inabidi tu uchukue boda
Hizo sehemu ulizotaja ni hatari kwakweliMkuu unadhani huku mikoani jam hazipo? Kutoka kimara mpa mail moja kuna jam gani? Kuna sehemu inaua boda boda kama magari saba na kwa yusuph? Boda boda wa dar hawapo makini wengi ni bangi tuu na hawana majukumu.
Tajiri umeni quote vibayaHawa waunganishwe kesi ya Malisa,wanalichafuwa jeshi.
Bado sijaelewa nielewesheNimekuquote kimakosa, yule wa pili ataelewa why nimemquote.
Wanaua sana aiseeni kweli walevi wanauwa watu sana hasa usiku wanapotoka uko kupiga gambe zao japo na boda wana mapungufu yao nao
Kwanza kuendesha bodaboda kwenye highway ni risk sema tu serikali haitaki kusema hili. Mtu anafunguka speed 90 halafu bodaboda Yuko katikati ya gari na gari akikugusa hata kidogo lazima ulambe lami.Apo aliyemgonga utakuta alikua amelewa,na saivi yupo bar anakunywa bia,hakuna anayemkumbuka,lawama zote zipo upande wa polis kwa kuchelewa kuhukua mwili,upande wa pili wa chanzo cha ajali kama kuna uzembe mahali,unazimwa kwa kubebeshwa lawma polisi pekee,
Utakuta anayefanya hivyo analengo maalumu anawajua wabongo walivyoo,wakwanza kubebeshwa lawama wanapita naye uyo uyo.
Utaona apo ata mwili ukichukuliwa saa 11 kasoro asubuhi,mtoa mada anaandika saa 4 asubuhi.
Sijawahi kusikia mtu kaenda Uwanja wa ndege kachekewa ndege halafu akagongwa.Inategemea! Kama ni emergency mfano unawahi airport then unakuta foleni haitembei inabidi tu uchukue boda
Hivi mnafahamu wateja wa visungura ni kina nani?Kwanza kuendesha bodaboda kwenye highway ni risk sema tu serikali haitaki kusema hili. Mtu anafunguka speed 90 halafu bodaboda Yuko katikati ya gari na gari akikugusa hata kidogo lazima ulambe lami.
Ni vile tu serikali inatuacha tufe kama miziga ila bodaboda haikupaswa iwe usafiri wa umma. Hatuna miundombinu ya kuiaccommodate.
Hivi wewe ni fundi manyumba yule chawa wa Diamond?Ajali imetokea jana usiku mida ya saa 8 nadhani, boda boda wa mbezi wamefika eneo la tukio wanawapigia simu polisi kuwapa maelezo ya tukio ili wafike kwa wakati lakini ajabu jibu walilotoa askari linafikirisha sana..
Jibu walilotoa polisi walisema Gari yao haina MAFUTA ☹️,boda boda ilibidi waustili mwili vizuri ili hali ukiendelea kubakia eneo lile ukinyeshewa na mvua😢, mpaka ilipofika leo mida ya saa 4 asubuhi ndipo askari waliweza kufika eneo la tukio na kuutoa mwili wa marehemu kuupeleka hospitali.
TUKIO LA JANA NI UDHIHIRISHO TOSHA KUWA TUNA ASKARI WASIOKUWA NA WELEDI WOWOTE NA KAZI YAO 😒😠
"""Dah Zuchi, Mungu amlaze mahala pema peponi 🙏 nakumbuka wakati na Show ya #ThePlaylist ikabidi nitafute mtu mkali wa kufanya nae Professional Photoshoot nikakutana na Zuchi kipindi iyo anajitafuta na Studio yake Mwenge ndani ndani!
Akawasha midude hatari sana na kutokea apo ikawa kila kazi tunapiga nae na watu wakibao wakamuamini zaidi, njaa yake ya kutamani kupiga picha kali ikampeleka mpaka kwa Millard na kufanya kazi kupitia Ayotv, Pole sana @millardayo pole kwa familia, ndugu na jamaa 🙏 M/Mungu amlaze mahala pema peponi 🙏. """Lulyommy
View attachment 2974681