Zuchu afungiwa kujihusisha na shughuli za sanaa Zanzibar

Zuchu afungiwa kujihusisha na shughuli za sanaa Zanzibar

Ccm inaharibu vijana kwa kuhendekeza wasanii wa hovyo.
Tupo kwenye ulimwengu wa machaguo.
Ukishindwa kutofautisha hapo ukikuta watu wanavuta bangi na wewe unavuta bangi kwasababu watu wanavuta bangi. Ukikuta wanawake wanajiuza barabarani na wewe unanunua kwasababu wapo wanajiuza
Malezi huanzia nyumbani kwa wazazi sasa kama unategemea Diamond na zuchu wakuleleee familia yako. Nakupa pole sana
Huwa nakutana na watoto wa umri wa miaka 4 na 5 havisalimii wakubwa halafu wazazi wanalalamika wasanii wanawaharibia vijana.
Nimekua na kulelewa na wazazi ambapo kukataa kutumwa na mkubwa wako yoyote au kutosalimia ni kosa la jinai.
 

Baraza la Sanaa, Sensa, Filamu na Utamaduni la Zanzibar, limemfungia msaanii wa kizazi kipya Zuhura Othman Masoud maarufu Zuchu kuendesha shughuli zote za sanaa visiwani Zanzibar.

Mbali na kumfungia kuendesha shughuli za sanaa, pia imepiga marufuku redio na televisheni za Zanzibar kupiga nyimbo zake zote kwa kipindi cha miezi sita.

Hatua hiyo imekuja baada ya tukio la Februari 24 mwaka huu Zuchu wakati akitumbuiza katika usiku wa Fullmoon Kendwa Mkoa wa Kaskazini Unguja kudaiwa kuimba nyimbo, kutoa matamshi na kuonyesha ishara mbaya ambazo ni kinyume na maadili ya kizanzibari.

Akizungumza leo Machi 5, 2024 ofisini kwake na waandishi wa habari, katibu mtendaji wa baraza hilo, Omar Abdalla Adam amesema baraza limemfungia kwa kipindi cha miezi sita kuanzia sasa.

“Baraza lina wajibu wa kusimamia mila, silka desturi na utamaduni wa Mzanzibari, kwa hiyo linatamka rasmi kumfungia msanii Zuhura Othman Soud (Zuchu) kufanya shughuli yoyote ya sanaa kwa Zanzibar kwa kipindi cha muda wa miezi sita kuanzia leo Machi 5, 2024,” amesema.

Amesema wanafanya hivyo kutokana na tabia yake kuimba nyimbo ambazo hazina maadili, hazifuati misingi na hazina afya njema kwa jamii ya Wazanzibari.

Pia, amesema licha ya msanii huyo kutokuwa na usajili Zanzibar lakini amekuwa akiendesha shughuli zake za sanaa bila kupata kibali.

Mbali na adhabu hiyo, pia msanii huyo ametakiwa kulipa faini ya Sh1 milioni moja kwa Baraza la Sanaa na aandike barua ya kuomba radhi na kuthibitisha kwamba hatafanya kosa hilo ndani ya kipindi alichofungiwa.


View attachment 2925088
Hawa watu wa Pwani na Visiwani wanaongoza kwa Liwaat.

Cc
Faiza Foxy
The Boss
Kipara Kipya
Kamanda Asiyechoka
Kazi Mkuu1
 
Baraza la Sanaa, Sensa, Filamu na Utamaduni la Zanzibar, limemfungia msaanii wa kizazi kipya Zuhura Othman Masoud maarufu Zuchu kuendesha shughuli zote za sanaa visiwani Zanzibar.

Mbali na kumfungia kuendesha shughuli za sanaa, pia imepiga marufuku redio na televisheni za Zanzibar kupiga nyimbo zake zote kwa kipindi cha miezi sita.

Hatua hiyo imekuja baada ya tukio la Februari 24 mwaka huu Zuchu wakati akitumbuiza katika usiku wa Fullmoon Kendwa Mkoa wa Kaskazini Unguja kudaiwa kuimba nyimbo, kutoa matamshi na kuonyesha ishara mbaya ambazo ni kinyume na maadili ya kizanzibari.

Akizungumza leo Machi 5, 2024 ofisini kwake na waandishi wa habari, katibu mtendaji wa baraza hilo, Omar Abdalla Adam amesema baraza limemfungia kwa kipindi cha miezi sita kuanzia sasa.

“Baraza lina wajibu wa kusimamia mila, silka desturi na utamaduni wa Mzanzibari, kwa hiyo linatamka rasmi kumfungia msanii Zuhura Othman Soud (Zuchu) kufanya shughuli yoyote ya sanaa kwa Zanzibar kwa kipindi cha muda wa miezi sita kuanzia leo Machi 5, 2024,” amesema.

Amesema wanafanya hivyo kutokana na tabia yake kuimba nyimbo ambazo hazina maadili, hazifuati misingi na hazina afya njema kwa jamii ya Wazanzibari.

Pia, amesema licha ya msanii huyo kutokuwa na usajili Zanzibar lakini amekuwa akiendesha shughuli zake za sanaa bila kupata kibali.

Mbali na adhabu hiyo, pia msanii huyo ametakiwa kulipa faini ya Sh1 milioni moja kwa Baraza la Sanaa na aandike barua ya kuomba radhi na kuthibitisha kwamba hatafanya kosa hilo ndani ya kipindi alichofungiwa.
Kuna mwingine aliimba eti anapaka mate inatereza kama Nyoka pangoni na Analamba mitaro.

Ni kampeni Artist
 
Hukumu ya wapi hii.
Mtu aliyepewa adhabu halazimiki kuomba radhi.
Kuomba radhi lengo lake ni kusamehewa.
Sasa kama hawajamsamehe, kwa nini aombe radhi?
Mnapoandika hukumu muwe mnajitahidi kushirikish wanasheria.
Sio mtu kasomea uhasibu eti naye unamkuta anatoa hukumu. No way.
Unaomba Radhi na Adhabu juu.

Kuna Onyo na Penati pia
 
Sasa nyimbo ziimbwe usiku mnene, ulevi umetamalaki na kibali kapewa...na mbele ya watu wazima. Na nyimbo hizo hizo zinasikika redioni mpaka unapata ukakasi kusikiliza ukiwa na watu mnaoheshimiana, Basata wacheni hizo!
 

Baraza la Sanaa, Sensa, Filamu na Utamaduni la Zanzibar, limemfungia msaanii wa kizazi kipya Zuhura Othman Masoud maarufu Zuchu kuendesha shughuli zote za sanaa visiwani Zanzibar.

Mbali na kumfungia kuendesha shughuli za sanaa, pia imepiga marufuku redio na televisheni za Zanzibar kupiga nyimbo zake zote kwa kipindi cha miezi sita.

Hatua hiyo imekuja baada ya tukio la Februari 24 mwaka huu Zuchu wakati akitumbuiza katika usiku wa Fullmoon Kendwa Mkoa wa Kaskazini Unguja kudaiwa kuimba nyimbo, kutoa matamshi na kuonyesha ishara mbaya ambazo ni kinyume na maadili ya kizanzibari.

Akizungumza leo Machi 5, 2024 ofisini kwake na waandishi wa habari, katibu mtendaji wa baraza hilo, Omar Abdalla Adam amesema baraza limemfungia kwa kipindi cha miezi sita kuanzia sasa.

“Baraza lina wajibu wa kusimamia mila, silka desturi na utamaduni wa Mzanzibari, kwa hiyo linatamka rasmi kumfungia msanii Zuhura Othman Soud (Zuchu) kufanya shughuli yoyote ya sanaa kwa Zanzibar kwa kipindi cha muda wa miezi sita kuanzia leo Machi 5, 2024,” amesema.

Amesema wanafanya hivyo kutokana na tabia yake kuimba nyimbo ambazo hazina maadili, hazifuati misingi na hazina afya njema kwa jamii ya Wazanzibari.

Pia, amesema licha ya msanii huyo kutokuwa na usajili Zanzibar lakini amekuwa akiendesha shughuli zake za sanaa bila kupata kibali.

Mbali na adhabu hiyo, pia msanii huyo ametakiwa kulipa faini ya Sh1 milioni moja kwa Baraza la Sanaa na aandike barua ya kuomba radhi na kuthibitisha kwamba hatafanya kosa hilo ndani ya kipindi alichofungiwa.


View attachment 2925088
Kwenye hii wale wa dini ileeee, ya, mnyaaaz mungu, watapita kama hawaoni! Ila siku Mond alipoimba wimbo na kutaja neno "aleluya" Fundamentalist Islamist, walikuja juu kwamba kwanini Mond(islam) ametaja neno LA kigaratia!
Haka ka Dada, kalipewa, deal ya kutangsza pombe, ya pesa mingi, kakachomoa kisa, "uislam"hauruhusu kushika vileo!
Ila kuongea Vogue language, kuzini(kama anavyofanya na Mond), hakuna shida!
 
Back
Top Bottom