Bemendazole
JF-Expert Member
- Nov 14, 2020
- 2,649
- 6,680
Mkungu wa ndizi!Kwani huo "mku..." ndo nini?mliosoma cuba dadavueni.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkungu wa ndizi!Kwani huo "mku..." ndo nini?mliosoma cuba dadavueni.
Wewe nenda BASATA kaombe RADHI utajua hujui sisi ni Mamlaka na tuna Sheria zetu tumekupiga Ban na ZANZIBAR utaisikia redioni
UJUE huku Kuna Mamlaka usituletee dharau pambafu
Sasa km hao Basata wanaubavu na wakubanuwe
# SISI NI MAMLAKA KAMILI
Wewe ni bonge la mpumbavu,hivi unafikiri kila mtu akiachwa afanye anavyotaka,hili taifa litabaki salama!?, wewe leo una ona ni sahihi,je kwa watoto?!. Watoto wetu tunawalinda vp juu ya huu uchafu?!.Shida hizi mamlaka zinaongozwa na wahuni, mtu kasema mku........., tayari wao wametafsiri ni tusi, ni kweli tusi Kwa waliosoma Cuba ila Kwa kuwa halijamaliziwa ulipaswa kuachwa kama ilivyo na kubaki Kwa raia.
Wao ndo wanazua taharuki na kufanya watu waanze kutafuta clip na kujifanya viral.
Sasa zile nyimbo za Wana Njenje aka Bwana Chuchu ....si wangefungia Kila wimbo kutokana na vile vikorombwezo vya kina Omari mkali K
Itakua ndizi za kupika na utumboMkungu wa ndizi!
Nimesema kimtaani mtaani ni tusi (Kwa waliosomea Cuba) ila hakuna kosa pale mbele ya mamlaka alilofanya Kwa sababu hajamalizia neno na kilichofanyika ni usiku na kwenye kumbi ya burudani.Wewe ni bonge la mpumbavu,hivi unafikiri kila mtu akiachwa afanye anavyotaka,hili taifa litabaki salama!?, wewe leo una ona ni sahihi,je kwa watoto?!. Watoto wetu tunawalinda vp juu ya huu uchafu?!.
Wewe itakuwa ni mtanganyika wa kwanza kujutia wenzako wote wanafurahia ndio mana hawataki abadan kutuachia nchi yetu, kodi za TRA zinakusanywa Zanzibar zinakuja kutumika huko bara na tanganyika kwenye mishahara yenu Zanzibar hawanusi ata shilingi 1 kwenye kodi zao hizo.Sisi wen
Sisi wenyewe tunajutia kuungana na nyie,,tunatamani huo muungano usingekuwepo,,mkawa kivyenu na dini yenu
Nani alikwambia hawataki,,umeshawahi kupigisha watu kura ukajua maoni Yao?Wewe itakuwa ni mtanganyika wa kwanza kujutia wenzako wote wanafurahia ndio mana hawataki abadan kutuachia nchi yetu, kodi za TRA zinakusanywa Zanzibar zinakuja kutumika huko bara na tanganyika kwenye mishahara yenu Zanzibar hawanusi ata shilingi 1 kwenye kodi zao hizo.
Zanzibar hakuhitaji kura ya maoni ikipigwa hiyo kura ni aibu tu yani kila unayemuona anakwamba hataki muungano, yaani huo munaoita muungano Zanzibar unaungwa mkono na wahafidhina tu walio kwenye systeam ambao wanavuta maslahi basNani alikwambia hawataki,,umeshawahi kupigisha watu kura ukajua maoni Yao?
Basi Mimi natamani hata Hawa wenzako ambao wako huku bara wangekuja Huko mkaungana wote mkaendelea na mambo yenuZanzibar hakuhitaji kura ya maoni ikipigwa hiyo kura ni aibu tu yani kila unayemuona anakwamba hataki muungano, yaani huo munaoita muungano Zanzibar unaungwa mkono na wahafidhina tu walio kwenye systeam ambao wanavuta maslahi bas
Sio wenzang walio bara, kule zanzibar kila leo wageni kutoka tanganyika wanamiminika kutafuta ajira na wengine wanauza dawa za panya, viroboto, kunguni na wengine wanapiga pande kilimo na hawa ndio wanahofia muungano ukikatika kurudi kwao kule bara maisha yatakuwa mabaya sanaBasi Mimi natamani hata Hawa wenzako ambao wako huku bara wangekuja Huko mkaungana wote mkaendelea na mambo yenu
Hata mm najiulizaga sana, hivi kweli matusi haya wenzetu wanaona poa tu. Dah. Zipogwe marufuku hata huku bara.Kuna watu mnaroho ngumu hivi nyimbo zile za kihuni sijua sukari mara namnyonyesha mnazisikizaga nyumbani na watoto wapo kweli. Mle hamna msanii matusi tu yamejaa bora nisikilize msondo ngoma au wanasikinde ngoma ya ukae sio upuuzi wa weka mate itereze.