Zuchu afungiwa kujihusisha na shughuli za sanaa Zanzibar

Ccm inaharibu vijana kwa kuhendekeza wasanii wa hovyo.
Tupo kwenye ulimwengu wa machaguo.
Ukishindwa kutofautisha hapo ukikuta watu wanavuta bangi na wewe unavuta bangi kwasababu watu wanavuta bangi. Ukikuta wanawake wanajiuza barabarani na wewe unanunua kwasababu wapo wanajiuza
Malezi huanzia nyumbani kwa wazazi sasa kama unategemea Diamond na zuchu wakuleleee familia yako. Nakupa pole sana
Huwa nakutana na watoto wa umri wa miaka 4 na 5 havisalimii wakubwa halafu wazazi wanalalamika wasanii wanawaharibia vijana.
Nimekua na kulelewa na wazazi ambapo kukataa kutumwa na mkubwa wako yoyote au kutosalimia ni kosa la jinai.
 
Hawa watu wa Pwani na Visiwani wanaongoza kwa Liwaat.

Cc
Faiza Foxy
The Boss
Kipara Kipya
Kamanda Asiyechoka
Kazi Mkuu1
 
Kuna mwingine aliimba eti anapaka mate inatereza kama Nyoka pangoni na Analamba mitaro.

Ni kampeni Artist
 
Unaomba Radhi na Adhabu juu.

Kuna Onyo na Penati pia
 
Hao wasanii wa bongo nyimbo zao zinahamasisha ngono zembe tu.
Hakuna cha maana zaidi ya uchawa wao wa kindezi.
Wafungiwe hata miaka 100.
 
Sasa nyimbo ziimbwe usiku mnene, ulevi umetamalaki na kibali kapewa...na mbele ya watu wazima. Na nyimbo hizo hizo zinasikika redioni mpaka unapata ukakasi kusikiliza ukiwa na watu mnaoheshimiana, Basata wacheni hizo!
 
Kwenye hii wale wa dini ileeee, ya, mnyaaaz mungu, watapita kama hawaoni! Ila siku Mond alipoimba wimbo na kutaja neno "aleluya" Fundamentalist Islamist, walikuja juu kwamba kwanini Mond(islam) ametaja neno LA kigaratia!
Haka ka Dada, kalipewa, deal ya kutangsza pombe, ya pesa mingi, kakachomoa kisa, "uislam"hauruhusu kushika vileo!
Ila kuongea Vogue language, kuzini(kama anavyofanya na Mond), hakuna shida!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…