Zuchu afungiwa kujihusisha na shughuli za sanaa Zanzibar

Zuchu hana adabu huyu ni wa kupigwa marufuku maisha yake yote asikanyage ardhi ya zanzibar, anafanya umalaya sana na yule muhuni mwenzake diamond, ni vile kama amelaaniwa ni muhuni sana hana dalili ya uislamu, kusema yeye ni muislamu ni kuudhalilisha uislamu, zuchu sio muislamu halafu nashangaa sana mtu kama Haji manara anapewa microphone msikitini kuongea na waislamu haliyakuwa naye yule jamaa ni malaya mbwa muhuni anaishi kimalaya na mwanamke anayetaka wanastarehe clip za video zinaenea duniani kote
 
LEO AMEFUNGIWA
KESHO YUKO KWENYE MAJUKWAA YA CCM ANATUMBUIZA.

KWA UPANDE MWINGINE,
NI HUKO HUKO KWENYE MASHARTI YA DINI
NI HUKO HUKO KWENYE MATUMIZI YA MIKUND**
NI HUKO HUKO TU.
 
Zanzibar jamani tangu lini kula ushuzi ikawa mwiko? Mbona watu wanazibuana kama wale vijana walofumwa wakitafunana wakawekwa mahabusu Moja na wakaliendeleza libeneke ndani ya mahabusu
 
Freemasons kazini...ataruhusiwa hivi karibuni na ujumbe kashaufikisha...ushoga utaanzia kule ndio utakuja bara baada ya dunia kuelemewa....nimekaa pale yangu macho.
 
TV ya mwanzo africa mashariki ilitizamwa Zanzibar tv za bara kule hazina mpango wowote mnaeka makwaya saa zote na uhuni wa nyimbo za matusi kukaa uchi saa zote
Kwa hyo Zanzibar hawaskilizi clouds FM au wasafi FM?
 
Sasa huko unguja kwa mik@:~?*&^ si ndio nyumbani kwao. πŸ˜‚ πŸ˜‚ πŸ˜‚ πŸ˜‚ πŸ˜‚ πŸ˜‚ .
 
Sub haanallah, ni mtihani haswaa

Waislamu Nyimbo ni haram, mtaenda kujibu nini kwa Allah! Mavazi mnayovaa ni aibu kwa Muislamu jamani, kwanini hatumuogopi Mwenyezi Mungu, life is too jamani tubuni!

Zanzibar, pigeni marufuku wanamuziki kuingia Zanzibar, Zanzibar ni nchi ya kiislamu.

Allah atujaalie mwisho mwema!
 
"Mtamaliza mikao mtamaliza utundu, huyu kwangu haondoki hata mkimpa mku..."

Nimefuatilia vina na mizani pamoja na ushairi Zuchu ana kesi ya kujibu hapa

Na Ile ishara kwenye video pamoja na walivyocheza wacheza show wake anastahili adhabu kali
 
Niliusikia kwa mara ya kwanza huu wimbo mpaka nilishika kichwa. Na anavyopendwa na vitoto vya shule maskini, mtawaambia nini kwa huyu mdada, ilaaaa


Naona sasa hivi wadada ndio imekuwa sound track kwenye video nyingi za wadada wanaojirekodi, hawa nao inaendaje?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…