Kingwest93
Senior Member
- Nov 23, 2023
- 109
- 107
Acha kuongelea dini ongelea sheria ya nchi kwanza unajua zanzibar kuna muda nawashangaa sana maadili gani mnatetea daily wazungu mnapishana nao sokoni wamevaa chupi tu ila mtu mweusi mwenzio akivaa suruali tu mwanamke hana maadili😂😂Zuchu hana adabu huyu ni wa kupigwa marufuku maisha yake yote asikanyage ardhi ya zanzibar, anafanya umalaya sana na yule muhuni mwenzake diamond, ni vile kama amelaaniwa ni muhuni sana hana dalili ya uislamu, kusema yeye ni muislamu ni kuudhalilisha uislamu, zuchu sio muislamu halafu nashangaa sana mtu kama Haji manara anapewa microphone msikitini kuongea na waislamu haliyakuwa naye yule jamaa ni malaya mbwa muhuni anaishi kimalaya na mwanamke anayetaka wanastarehe clip za video zinaenea duniani kote
Amejisahau kuwa nchi hii ina taratibu zakeHalafu sijui amekuwaje? Amecharuka matusi kibao akiperform. Ile show alinishangaza sana.
Hizi akili za watu weusi ni shida sanaAcha kuongelea dini ongelea sheria ya nchi kwanza unajua zanzibar kuna muda nawashangaa sana maadili gani mnatetea daily wazungu mnapishana nao sokoni wamevaa chupi tu ila mtu mweusi mwenzio akivaa suruali tu mwanamke hana maadili😂😂
Mkuu dini Zanzibar ndio maisha yetu, jifunze tafsiri ya neno dini utajua kwanini muda wote tunaongelea maadili, ukiristo hakuna mahali umeongelea maadili kwa sababu ya udhaifu wake ndio mana mnatembea uchi kama ngombe mke mume mnaona ni sawa tuAcha kuongelea dini ongelea sheria ya nchi kwanza unajua zanzibar kuna muda nawashangaa sana maadili gani mnatetea daily wazungu mnapishana nao sokoni wamevaa chupi tu ila mtu mweusi mwenzio akivaa suruali tu mwanamke hana maadili😂😂
Hata sisi tunajutia kwa Nini nchi ziliungana,,Bora mngebaki kivyenu na uislamu wenuSub haanallah, ni mtihani haswaa
Waislamu Nyimbo ni haram, mtaenda kujibu nini kwa Allah! Mavazi mnayovaa ni aibu kwa Muislamu jamani, kwanini hatumuogopi Mwenyezi Mungu, life is too jamani tubuni!
Zanzibar, pigeni marufuku wanamuziki kuingia Zanzibar, Zanzibar ni nchi ya kiislamu.
Allah atujaalie mwisho mwema!
Sisi wenyewe tunajutia kuungana na nyie,,tunatamani huo muungano usingekuwepo,,mkawa kivyenu na dini yenuMkuu dini Zanzibar ndio maisha yetu, jifunze tafsiri ya neno dini utajua kwanini muda wote tunaongelea maadili, ukiristo hakuna mahali umeongelea maadili kwa sababu ya udhaifu wake ndio mana mnatembea uchi kama ngombe mke mume mnaona ni sawa tu
Amewapa Mku...Kwani kafanya ninj huko Zanzibar huyu Chuchu (sijui Zuchu)?
Amewapa mk(....) adharani ama faraghani?Amewapa Mku...
JukwaaniAmewapa mk(....) adharani ama faraghani?