Yawekana hapa najibizana na watu wasio ujua muziki kabisa aiseee....yn katika uwezo wa kuimba unamfananisha Ruby na Zuchu!!!!???? Yani Ruby na Zuchu washuke mic hapa waimbe live!!!???? Unasemajeee weeee......hivi we Ruby unaemzungumzia ni yupi kwani.....Yaani huyu mtoto Zuchu we acha tu....unamfananishaje na Ruby?!!!
Hata tu uzuri wa looks hawafanani......
Chengine huyu mtoto ni kipaji chake maridhawa na jinsi HISIA za muziki wake zinavyoendana na GESTURES yaani namkubali Sanaaaaa.
Wanaomkubali km mm would you pls put your like here!
Mbona nimegusia mengi juu Yao.....Yawekana hapa najibizana na watu wasio ujua muziki kabisa aiseee....yn katika uwezo wa kuimba unamfananisha Ruby na Zuchu!!!!???? Yani Ruby na Zuchu washuke mic hapa waimbe live!!!???? Unasemajeee weeee......hivi we Ruby unaemzungumzia ni yupi kwani.....
Wabongo sisi tatzo sanaWho's she? Ameimba nyimbo gani huyo zuchu?
Acha tu😂😂Wabongo sisi tatzo sana
Pia akamtunza hela.Sio picha tu
😂😂😂Ila zuchu akijiregeza tu basi ataishia kuwa chakula cha wanyama wakali
😜Kasungura tope tu ako
Yaani we jamaa ndo nyinyi mnaoelewa umuhimu wa kunywa maziwa,Sasa umeona jinx unavyoyatema madini😁😁Zuchu is the hottest female artist kwa sasa..
Nyimbo zake ndizo zinaongoza kuwa streamed kwenye online media platforms zote kwa wasanii wa kike tangia ametoka.
Anakuja kwa kasi sana, siku atakapoachia collabo yake na Diamond ndiyo itakayokuwa mazishi kwa all female singers Tz.
Na ndiyo siku atakayoingia nambari 1 rasmi...
Sio Mimi mkuu[emoji3]Kuna jamaa mmoja hivi kila hotuba yake lazima achomekee masuala ya wanawake wanawake[emoji1787]Hahaa nani mwingine kama sio wewe
Cc😡jiweSio Mimi mkuu[emoji3]Kuna jamaa mmoja hivi kila hotuba yake lazima achomekee masuala ya wanawake wanawake[emoji1787]
Ila jamaa namkubali hajifichi katika hio sekta ndio hobby yake
[emoji1787]
Sent using Jamii Forums mobile app
hebu nitajie msanii wa kike hapa bongo anaemzidi ruby katika uwezo wa kuimba hapa Bongo
Zuchu is the hottest female artist kwa sasa..
Nyimbo zake ndizo zinaongoza kuwa streamed kwenye online media platforms zote kwa wasanii wa kike tangia ametoka.
Anakuja kwa kasi sana, siku atakapoachia collabo yake na Diamond ndiyo itakayokuwa mazishi kwa all female singers Tz.
Na ndiyo siku atakayoingia nambari 1 rasmi...
Unatoka povu wakati ndo hali halisi..Msanii namba moja wa kike? Pumbavu
Nimeamini wajinga hawawezi kuishaUnatoka povu wakati ndo hali halisi..
Fala nin!!?
Wewe ni nani kwani..? Umeingiaje jamii forum Kama REALNEGRONEVABROKE...?Who's she? Ameimba nyimbo gani huyo zuchu?