Doh! tuache unafiki jamani Zuchu niwakawaida sana sema sehemu alipo panambeba hata Harmonize alipokuwa wcb alionekana mkali zaidi ya kiba sasahivi amekuwa wakawaidaZuchu is the hottest female artist kwa sasa..
Nyimbo zake ndizo zinaongoza kuwa streamed kwenye online media platforms zote kwa wasanii wa kike tangia ametoka.
Anakuja kwa kasi sana, siku atakapoachia collabo yake na Diamond ndiyo itakayokuwa mazishi kwa all female singers Tz.
Na ndiyo siku atakayoingia nambari 1 rasmi...
Another version of Innocent Independent.Wewe ni timu kiba, maana WCB hatunaga mashabiki wa utopolo so chill WCB CHAMA LAO.
mbona hiyo sehemu haimmbebi Queen Darleen ?Doh! tuache unafiki jamani Zuchu niwakawaida sana sema sehemu alipo panambeba hata Harmonize alipokuwa wcb alionekana mkali zaidi ya kiba sasahivi amekuwa wakawaida
Kivp?Too overrated
Kuhusu nini?Kivp?
Alafu Zuchu na kuwinda kwangu koote lakini sikuwai kumuona kwenye rada zangu huyu mtoto mkali.
Haijalishi, ilimradi ni NYOTA KALI SANAlabda mseme ana nyota ya CCM.
Kwanini unasema zuchu Ni overrated?Kuhusu nini?
kwasababu yupo overratedKwanini unasema zuchu Ni overrated?
Toa Sababu za msingi kwanini yupo overratedkwasababu yupo overrated
Ukisikia overrated una elewa nini?Toa Sababu za msingi kwanini yupo overrated
Huwezi ukasema Ni overrated wakati ngoma zake zinafanya vizuri kitaani mpaka kwenye mauzo ya mziki mfano mzuri audiomack na kingine ukitaka kujua huyo dada sio overrated angalia hiyo show yake atakavyojaza watu.Ukisikia overrated una elewa nini?
We jamaa huwa unalipwa sh ngapi na WCB?Huwezi ukasema Ni overrated wakati ngoma zake zinafanya vizuri kitaani mpaka kwenye mauzo ya mziki mfano mzuri audiomack na kingine ukitaka kujua huyo dada sio overrated angalia hiyo show yake atakavyojaza watu.
TUISHI humo bango kubwakwakweli nilikuwa simkubari...ila mnaanza kunishawishi nianze kumkubari kidogo kidogo
Alipwi, kwani kibamia anakupaga shingapi?We jamaa huwa unalipwa sh ngapi na WCB?
FactSiyo nyota,hard work pays!
Tutoleee utopolo hapaUkisikia overrated una elewa nini?