Zuchu kuimba MABUNO kuna hatari kubwa kupoteza kizazi kijacho

Zuchu kuimba MABUNO kuna hatari kubwa kupoteza kizazi kijacho

Salaam! Msanii pekee wa kike kutoka wcb amekuwa akitoa mfululizo wa nyimbo ambazo kiutamaduni zinaathiri kizazi chetu cha baadae "honey wangu akinuna namkatia mabuno" imagine watoto wangapi wanaimba hii nyimbo?

Ombi langu kwa Basata msifungie nyimbo zinazokashif mamlaka tu! Camera yenu imulike upande wa hii lebo na kizazi chake wanaibomoa na kuirarua jamii.
Acha ujinga wewe, ulimwengu wa internet huu, Lea mwanao vzr, Mabaya yapo mengi, tu fundisha wanao jinsi ya kuona mabaya na kuyatambua,
Kama mtoto hawezi, kuelewa hili baya na lile zuri,basi huyo ni kilaza,
Huwezi, kuzuia kila kitu kibaya kisimfikie mtoto, internet na ulimwengu upo kwenye vidole,
Mtoto wangu wa miaka 6,anajua kutumia simu,computa, anaendesha, piki piki(ndogo), anajua nyimbo nyingi za bongofleva, anajua vitu gani vibaya vya kutokuangalia mtandaoni,
 
Oyoooooo!!! Umerudi mdogo angu??
Ulifichwa wapi kwan? [emoji8][emoji8][emoji8][emoji8]
Hanii wako Mjep si yupo? Au unatafuta vita ya kilazima km hamas [emoji23][emoji23][emoji23]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] uduguuu kwann lakinii? Wee habari huna kwani?
 
NYIMBO ZA KUPOTOSHA KIAZI ZINALIPA BALAA
WENYE MMALAKA WANAPENDA WATU WA HIVI,
WANATOA NAFASI YA MIALIKO MBALILMBALI KITAIFA
KWA WANAMUZIKI HAWA NA KUWAWEKA MBALI WANAMUZIKI KAMA NEY WA MITEGO, ROMA MKATOLIKI.
 
Back
Top Bottom