Zuchu kuimba MABUNO kuna hatari kubwa kupoteza kizazi kijacho

Zuchu kuimba MABUNO kuna hatari kubwa kupoteza kizazi kijacho

Mtakuwa na chuki na Zuchu tu.

Wakati Maua Sama anaimba mwagia ndani na iokote, kuna watu tulikuwa hatumfahamu Zuchu. Bongo flava imejaa nyimbo za matusi matupu hadi kero. Bongo movies nako ni laana tupu.

Halafu wasanii siku zote huangalia hadhira inataka nini ili waendane na soko. Kwahiyo jamii mbovu inapokea sanaa mbovu. Mfano nimefuatilia kidogo sanaa za Rwanda na Ethiopia ambao wana maadili sana katika jamii zao naona zipo safi, si kama za waswahili ambao tunawaza mambo machafu muda wote.

Hao BASATA kama ni kufungia basi wazifungie bongo flava na bongo movies kwa ujumla tuanze upya wote tukiwa siriasi na maadili, kuanzia jamii, serikali hadi hao BASATA wenyewe.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mtakuwa na chuki na Zuchu tu.

Wakati Maua Sama anaimba mwagia ndani na iokote, kuna watu tulikuwa hatumfahamu Zuchu. Bongoa imejaa nyimbo za matusi matupu hadi kero. Bongo movies nako ni laana tupu.

Halafu wasanii siku zote huangalia hadhira inataka nini ili waasndane na soko. Kwahiyo jamii mbovu inapokea sanaa mbovu. Mfano nimefuatilia kidogo sanaa za Rwanda na Ethiopia ambao wana maadili sana katika jamii zao naona zipo safi, si kama za waswahili ambao tunawaza mambo machafu muda wote.

Hao BASATA kama ni kufungia basi wazifungie bongo flava na bongo movies kwa ujumla tuanze upya wote tukiwa siriasi na maadili, kuanzia jamii, serikali hadi hao BASATA wenyewe.

Sent using Jamii Forums mobile app
Kuna zile video za jamaa wa kuitwa kicheche ni uhuni umejaa
 
Salaam! Msanii pekee wa kike kutoka wcb amekua akitoa mfululuzo wa nyimbo ambazo kiutamaduni zinaathiri kizazi chetu cha baadae "honey wangu akinuna namkatia mabuno" imagine watoto wangapi wanaimba hii nyimbo?

Ombi langu kwa basata msifungie nyimbo zinazokashif mamlaka tu! Camera yenu imulike upande wa hii lebo na kizazi chake wanaibomoa na kuirarua jamii.
Tatizo lipo kwa BASATA. Wanakazania kufungia nyimbo huku wakiacha nyimbo za kipumbavu kama hizi ziendelee kuwaharibu watoto wetu. Nyimbo za kipuuzi ni nyingi sana sio huu tu. Mfano, wimbo NAUZA MBOGA, NITONGOZE etc hazifai kuruka hewani. Zinatuharibia watoto na kizazi cha kesho.
 
Hapa home tuna dogo toto la mchungaji 4years aga linaimba...
”Mwenzenu mimi sijui kutongoza, Wakijipitisha namwaga helaa"

Afu wengine nilikua nawasikia wanaimba ”Bebi mwagia ndani"

Nikijaribu kuwakanya nahisi kama ndo ntawafundisha matusi naamua niwaache kama nilivowakuta.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Boloo mama boloo
Kwishnei boloo
Japokuwa namchuna, nang’ang’ana humo humo,
Honeyy wangu akinuna, namkatia vibuno
Vibuno, vibuno, vibuno, vibunoooo haniiiii

Hapo wewe umeumia nini? Au huna haniii wa kukukatia vibuno?[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Uduguuuuu sikuweziiiiii, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Nitafutie haniii. Wa kumpa vibunoo.
 
Inategemea unaeleaje mtoto wako Kama hauna hela lazima mtoto wako apotee hasa Hawa wanawake watoto wa kike wanawaza Sana ngono nashangaa watoto wa 2006-2009 the all time wanapiga story za wanaume tu .nipo Temeke Hapa.


Honestly wazazi tafuteni pesa mtoto akiwa protected kwa nyumba yenye fensi na unamwekea vitabu anasoma apende asipende huku unaangalia na talent yake .

Tofauti na hapo unakaa nyumba za kupanga lazima mtoto atombeshe Sana na Bora Apate hiyo Mimba Ila sio Ukimwi na magonjwa mengine ya zinaa yasiyotibika kirahisi.


Baada ya ujio huu wa Vibuno nimejionea Mama na mwanae Wanakazwa na mtu mmoja the same area so sad
Yaan fensi na ushua ndo mtoto asipotee ktk maadili? Hauko sahihiiii.
 
Back
Top Bottom