Zuchu kuimba MABUNO kuna hatari kubwa kupoteza kizazi kijacho

Zuchu kuimba MABUNO kuna hatari kubwa kupoteza kizazi kijacho

Hapa home tuna dogo toto la mchungaji 4years aga linaimba...
”Mwenzenu mimi sijui kutongoza, Wakijipitisha namwaga helaa"

Afu wengine nilikua nawasikia wanaimba ”Bebi mwagia ndani"

Nikijaribu kuwakanya nahisi kama ndo ntawafundisha matusi naamua niwaache kama nilivowakuta.
Bindi yangu ana 2yrs kasoro ghafla naskia anaimba hio nyimbo ya Zuchu kwa ufasaha kabisa nilijipiga kifuani na kusema Kazi ipo. Ikumbukwe sijafunga king'amuzi kabisa sababu ya kuhofia hayo mambo ya kwenye kideo yana athari kwa mtoto ila namuwekea akili akili kwenye flash. Malezi magumu sana
 
Boloo mama boloo
Kwishnei boloo
Japokuwa namchuna, nang’ang’ana humo humo,
Honeyy wangu akinuna, namkatia vibuno
Vibuno, vibuno, vibuno, vibunoooo haniiiii

Hapo wewe umeumia nini? Au huna haniii wa kukukatia vibuno?🤣🤣🤣🤣
Hivi kumbe ni bolo, nilifikiri anasema Golo Golo Golo
 
Salaam! Msanii pekee wa kike kutoka wcb amekuwa akitoa mfululizo wa nyimbo ambazo kiutamaduni zinaathiri kizazi chetu cha baadae "honey wangu akinuna namkatia mabuno" imagine watoto wangapi wanaimba hii nyimbo?

Ombi langu kwa Basata msifungie nyimbo zinazokashif mamlaka tu! Camera yenu imulike upande wa hii lebo na kizazi chake wanaibomoa na kuirarua jamii.
Mabuno ni kitu Gani kwani, embu mnieleweshe wajuzi wa mambo
 
Zuchu kaleta balaa mjini.mtaa mzima watoto wanaimba"bolo bolo bolo.
Weka jina la wimbo,ili tusiudaunilodi kabisa,yaani hilo ni tusi kabisa,sijui aliyehariri huo wimbo,hakujua kama kiungo hicho ni tusi?
Weka jina,mkuu.
 
Mnamuangushia jumba bovu Zuchu.

Maadili yalishakwenda na maji kabla hata Zuchu na Diamond hawajaanza kuimba.
Kwahyo yaendelee kuharibiwa tu maadili yetu kisa yameshakwenda na maji
 
Back
Top Bottom