Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwanini mkuu 😅😅🤭dah mdomo koma!
Kabisa chifu. Maadili yalishajifia kitambo. Wenyewe huku tumepotoka ila tu kwa vile tupo na fake i.D tunajiona malaika wa nuru.Mnamuangushia jumba bovu Zuchu.
Maadili yalishakwenda na maji kabla hata Zuchu na Diamond hawajaanza kuimba.
basi tu ila vitu vingine acha vibaki kama vilivyoKwanini mkuu 😅😅🤭
Ni sahihi✍basi tu ila vitu vingine acha vibaki kama vilivyo
Hivi kwanini akina dada mnapenda sana kuutumia huo msemo? Huwa una maana ipi?Bado hajasema, na atasemaaaa
Hapa home tuna dogo toto la mchungaji 4years aga linaimba...
”Mwenzenu mimi sijui kutongoza, Wakijipitisha namwaga helaa"
Afu wengine nilikua nawasikia wanaimba ”Bebi mwagia ndani"
Nikijaribu kuwakanya nahisi kama ndo ntawafundisha matusi naamua niwaache kama nilivowakuta.
Ila GOT ni mwisho jmn.Ushoga,usagaji na sex ya kaka na dada[emoji119][emoji119][emoji119]nipo season ya 4.
BASATA ndio msimamizi wa kumomonyoa maadili ya watoto wetu. BASATA ni tawi la kubariki utovu wa Nidhamu wa jamii yetu.
Ilibidi BASATA iangaliwe Kwa jicho la unafiq....
Ila too much, ila wanawachunia kwa sababu watawahitaji hapo 25.Hapa home tuna dogo toto la mchungaji 4years aga linaimba...
”Mwenzenu mimi sijui kutongoza, Wakijipitisha namwaga helaa"
Afu wengine nilikua nawasikia wanaimba ”Bebi mwagia ndani"
Nikijaribu kuwakanya nahisi kama ndo ntawafundisha matusi naamua niwaache kama nilivowakuta.
Kama honeeeeeeeeeeeeeeykuna mambo huwezi kuepuka
NamtasemaaSalaam! Msanii pekee wa kike kutoka wcb amekua akitoa mfululuzo wa nyimbo ambazo kiutamaduni zinaathiri kizazi chetu cha baadae "honey wangu akinuna namkatia mabuno" imagine watoto wangapi wanaimba hii nyimbo?
Ombi langu kwa basata msifungie nyimbo zinazokashif mamlaka tu! Camera yenu imulike upande wa hii lebo na kizazi chake wanaibomoa na kuirarua jamii.