Hako ka zuchu ni kahuni tangu hakajaanza mziki.I'm highly disappointed in her. She is too young to be this stupid.. It is too early..
Wakati mwingine najiuliza WCB wana mikataba na nguvu gani... Wanaimba matusi lakini bado wanasurvive.
Hovyo kabisa...
....kula kichwa hadi mkia... naipaka mate naifanyeje sijui...
Takataka kabisa
Wanaongozwa na pepo wachafuI'm highly disappointed in her. She is too young to be this stupid.. It is too early..
Wakati mwingine najiuliza WCB wana mikataba na nguvu gani... Wanaimba matusi lakini bado wanasurvive.
Hovyo kabisa...
....kula kichwa hadi mkia... naipaka mate naifanyeje sijui...
Takataka kabisa
Congratulations...umejua kukimbia mijadalaKajifunze kuandika kwanza.
Ukishajua uje tujadiliane kwa kina.
Kiwango Cha dhambi kinajulikana na mwenye mzani wa kupima dhambi za wanadamu........kwani unaweza kukielezea kiwango cha dhambi zao ??..
ni sawa na chetu, kilichopita au hicho nilichokiongelea
Inawezekana kabisa,haiwezekan mtoto aliyekulia mwananyamala uswazi na kuelewa na mama mswaz awe na maadili,ni ngumu mno,afu kwa staili chafu anazozicheza anaonekana kakubuhu kwenye mazingira hayo toka mdogo.matokeo ya malezi mabovu kama ya Domo.Hako ka zuchu ni kahuni tangu hakajaanza mziki.
Sasa kamepoa kuogopa camera za mapaparazi..
Anammeza kweli mzima mzima habakishi hata mkia..
Wala sio mtoto kama unavyomfikiria.
Huyo kakubuhu tangu bado hajapata umaarufu.Inawezekana kabisa,haiwezekan mtoto aliyekulia mwananyamala uswazi na kuelewa na mama mswaz awe na maadili,ni ngumu mno,afu kwa staili chafu anazozicheza anaonekana kakubuhu kwenye mazingira hayo toka mdogo.matokeo ya malezi mabovu kama ya Domo.
Wanadrop mdogo mdogo,I'm highly disappointed in her. She is too young to be this stupid.. It is too early..
Wakati mwingine najiuliza WCB wana mikataba na nguvu gani... Wanaimba matusi lakini bado wanasurvive.
Hovyo kabisa...
....kula kichwa hadi mkia... naipaka mate naifanyeje sijui...
Takataka kabisa
Sio lazima kuimba matusi ndio utoboe, ni maagizo tu wanatekeleza kutoka kuzimuWadau na zile semi porno videos za wanamuziki wa US, UK, South Africa na karibu Western world yote hamzishangai? Zile r&b za wakati ule mlikuwa mkisoma/sikiliza mashairi yake? Mbona ndo soko lenyewe linavyokwenda?
Bila hivyo hutoboi. NDio maana kuangalia mziki kwenye TV ukiwa na watoto wako no kazi Sana Sasa hivi. Kwa hiyo Zuchu ni mfanyabiashara anayekwenda na demand ya soko! Otherwise asingefanya hayo.
Ngoja nisikilize Sikinde ngoma ya Ukae mie Barua toka kwa Mama nipate mashairi yasochuja!
Usiuingize uislamu kwenye huu mjadala,si zuchu si wewe,hakuna anayeujya uislamuHaka kadada niliposikia kwamba kamekataa deal la billions kutoka kampuni ya bia kwa sababu dini yake airuhusu,!nilishangaa sana huu unafiki,yaani uislam wake unaruhusu aimbe mashairi yenye matusi,ila kugusa bia haukubali!
Uislam dini moja ya ajabu sana,
Uislam umehalamisha kuimba muziki,
Lini kautangazia ulimwengu?! As far as I know ni Sallam ndie alisema hizo habari alipokuwa akifanya intavyuu na Wasafi. Kama utakumbuka, katika kuonesha Wasanii wa WCB wanaingiza pesa ndefu, ndipo aliongea meeeeengi ikiwamo Rayvanny kulipwa mabilion huku akipotezea deals zingine. Na katika suala la kupotezea deals, ndipo akasema hata Zuchu nae huwa anapotezea deals za kutangaza vileo!! Labda kama nilipitwa lakini ninachofahamu hilo la Zuchu na vileo alilisema Sallam na sio Zuchu mwenyewe!U
Upo sahihi ila kuutangazia ulimwengu kwamba hutafanya kitu fulani kwa sababu ya dini,harafu wakati huo huo unafanya kingine ambacho pia dini yako inakataza,hapo Kuna walakini acha yote ambayo unafanya hadharani ambayo dini yako inakataza,aache muziki,
Unafiki upo hapo shekh,mie mengine nafanya sirini.
I'm highly disappointed in her. She is too young to be this stupid.. It is too early..
Wakati mwingine najiuliza WCB wana mikataba na nguvu gani... Wanaimba matusi lakini bado wanasurvive.
Hovyo kabisa...
....kula kichwa hadi mkia... naipaka mate naifanyeje sijui...
Takataka kabisa
Hako ka zuchu ni kahuni tangu hakajaanza mziki.
Sasa kamepoa kuogopa camera za mapaparazi..
Anammeza kweli mzima mzima habakishi hata mkia..
Wala sio mtoto kama unavyomfikiria.
Sawa mkuu,,Shida ya wafrika mnataka kila msanii aimbe nyimbo km za dini.
Shida kubwa ya wafrika mnataka kusikiliza na kuona kila kitu.
Kuna nyimbo za watu 18+ na za rika lote. Sioni ubaya wowote ule wa Zuchu
Nilijifunza hii double standard ya uislam ama baadhi ya waislamu pale Ruge alipokufa.Haka kadada niliposikia kwamba kamekataa deal la billions kutoka kampuni ya bia kwa sababu dini yake airuhusu,!nilishangaa sana huu unafiki,yaani uislam wake unaruhusu aimbe mashairi yenye matusi,ila kugusa bia haukubali!
Uislam umehalamisha kuimba muziki,