Zuchu, mdada anayeamini pombe tu ndiyo dhambi lakini siyo muziki na mavazi yasiyo na staha!

Zuchu, mdada anayeamini pombe tu ndiyo dhambi lakini siyo muziki na mavazi yasiyo na staha!

Anafkir ataiona pepo Kwa kukwepa
Pombe Fala huyu[emoji1][emoji1][emoji1][emoji1] na anaemzagamua n mlev [emoji1][emoji1]
 
Angekuwq anafuatilia dini yake ya kiislamu kiuhalisia asingeimba mziki wa kidunia, asingekuwa sidechick wa nasibu n.k
 
Angalia alivyovaa na kujiachia! Lakini ni huyu huyu Zuchu aliyekataa kufanya tangazo la pombe (siyo kunywa pombe) kwa madai kuwa ni kinyume cha matakwa ya dini yake.

Kungwi Sexless hajafurahishwa na undumila kuwili huu.

Kanazidi kunona huko backyard... Nyama zinazidi kuwa laini kama supu ya mapupu... Ama kweli zikiingia mlango mwingine zinakuwa samadi bora sana [emoji7]
 
Back
Top Bottom