Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwa kweli, maana Zuchu kama angekuwa siyo muziki na angebaki kule Mchambawima sijui kama angetazamikaNimeamini mwanamke hata awe mbovu vipi akitunzwa vizuri na kukaa nusu uchi wanaume lazima udenda ututoke 😄😄
Duh hatar 🔥Angalia alivyovaa na kujiachia! Lakini ni huyu huyu Zuchu aliyekataa kufanya tangazo la pombe (siyo kunywa pombe) kwa madai kuwa ni kinyume cha matakwa ya dini yake.
Kungwi Sexless hajafurahishwa na undumila kuwili huu.
Labda kwny Imani yake wanamruhusu kuvaa hivyo.Halafu yeye haoni shida kwenye Imani ya dini yake. Lkn kuitangaza pombe ndiyo shida
Amejaaliwa nini mkuu..?😄😄Mashaallah mtoto amejaaliwa
Unawaambiaje na wanao ona kula kitimoto ni dhambi ila kuzin wanaona kawaida
Unawashauri nini hawa dada zetu na mavazi yao ndio uhuru umezidi au?duh aiseee
hao jamaa ni grade A kwa unafiq ngono hovyo hovyo ruksa ila kula mdudu ni dhambi mnoooHakuna watu wanafiki kama hawa viunmbe wa kisslamu ...leo kuna sehemu wamekatataa condoma lakini wanaujaza na bandi sasa hata sijui
Unawashauri nini hawa dada zetu na mavazi yao ndio uhuru umezidi au?
Hapo kyupi naona haijavaliwaAngalia alivyovaa na kujiachia! Lakini ni huyu huyu Zuchu aliyekataa kufanya tangazo la pombe (siyo kunywa pombe) kwa madai kuwa ni kinyume cha matakwa ya dini yake.
Kungwi Sexless hajafurahishwa na undumila kuwili huu.
Ni wewe huyo SasaTangu lini Zuchu amerefuka kiasi hicho,?
Nadhani sio Zuchu huyo kwenye picha
Kanazidi kunona huko backyard... Nyama zinazidi kuwa laini kama supu ya mapupu... Ama kweli zikiingia mlango mwingine zinakuwa samadi bora sana [emoji7]Angalia alivyovaa na kujiachia! Lakini ni huyu huyu Zuchu aliyekataa kufanya tangazo la pombe (siyo kunywa pombe) kwa madai kuwa ni kinyume cha matakwa ya dini yake.
Kungwi Sexless hajafurahishwa na undumila kuwili huu.