Zuchu unazingua, wimbo wako wa honey ni mbaya

Una uhakika huyu jamaa ni mwanamke ?
 

Yaani nimekaa mahala unapigwa wimbo wako unaitwa "HONEY"aisee ni mbayaaaa....najua utavuma Kwa vile wabongo tuna hulka ya kupenda vitu vya hovyo hovyo.

Hivyo tu.
Honey🤣🤣🤣🤣🤣
Kwenye music industry muziki wa hovyo ndio hifanya vizuri zaidi.
Lengo la wanamuziki ni kuteka soko jua hilo " honey" 😂😂
 
Honey🤣🤣🤣🤣🤣
Kwenye music industry muziki wa hovyo ndio hifanya vizuri zaidi.
Lengo la wanamuziki ni kuteka soko jua hilo " honey" 😂😂
Yes I know....ila hiyo honeyyyyy imenikera tu basi...😅
 
Ingekua binadam wote ni kama Mimi, baas wasanii wangejipanga Kwa kilimo au ajira zingene mana wengepata taabu sana.
🤣🤣🤣🤣🤣 Hupendi ujinga au?
 

Yaani nimekaa mahala unapigwa wimbo wako unaitwa "HONEY"aisee ni mbayaaaa....najua utavuma Kwa vile wabongo tuna hulka ya kupenda vitu vya hovyo hovyo.

Hivyo tu.
Mbona ka wimbo kazuri sana, kama haupo serious... ila kama upo serious sana hauto ona kama mzuri
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…