Zuchu unazingua, wimbo wako wa honey ni mbaya

YANI WAMAKONDE WANNE NDO WANATAKA JAMII NZIMA IAMINI WIMBO MBAYA

TATIZO WANAZEEKA NA BADO WANATAKA NYIMBK ZA VIJANA
Acha kukurupuka aseee....Mbona Konde anawanyima Raha sana watu,mi namuongwlea Zuchu mnamwingiza mmakonde wa watu...Sikiliza mwenzio akili yangu haimsujudii mtu,Konde akitoa wimbo mzuri nimo,Zuchu, Diamond,Kiba ,Marioo, yeyote atayetoa wimbo mzuri naupenda ,akizingua siupendi......Mimi nampenda zangu J Melody nyie na matimu yenu mtajiju
 
Sina mood ya kubishana na mtu,...Wimbo sijaupenda,pita hivi👉👉👉👉
 
Sina mood ya kubishana na mtu,...Wimbo sijaupenda,pita hivi👉👉👉👉
Kuto upenda wimbo ni uhuru wako binafsi wa kutoa maoni umeutumia,kama watakavyo utumia wengineo wengi kuukubali,kustream na kuviews.

Uzuri JF sio mali yako binafsi, bado nipo sana sehemu zote mpaka kwenye hii thread nimeweka kituo.
 
Kuto upenda wimbo ni uhuru wako binafsi wa kutoa maoni umeutumia,kama watakavyo utumia wengineo wengi kuukubali,kustream na kuviews.

Uzuri JF sio mali yako binafsi, bado nipo sana sehemu zote mpaka kwenye hii thread nimeweka kituo.
Utajua mwenyewe unayechukulia maisha serious utasema unakula kwa Zuchu,,,weka hapa kituo,au usiweke I have nothing to loose
 
Hata yeye nampenda sana,ila wimbo huu kanichanganyia sukari na chumvi😥
 
Utajua mwenyewe unayechukulia maisha serious utasema unakula kwa Zuchu,,,weka hapa kituo,au usiweke I have nothing to loose
Still huo unabaki kuwa ni mtizamo wako, mimi JF napatimua kama sehemu ya kupoteza mda,kujifunza na kujiburudisha na ndio maana hata hii thread yako ni sehemu tu ya burudani.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…