Chinga One
JF-Expert Member
- May 7, 2013
- 11,469
- 12,391
we boya kweli wamakonde wameingiaje hapa?YANI WAMAKONDE WANNE NDO WANATAKA JAMII NZIMA IAMINI WIMBO MBAYA
TATIZO WANAZEEKA NA BADO WANATAKA NYIMBK ZA VIJANA
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
we boya kweli wamakonde wameingiaje hapa?YANI WAMAKONDE WANNE NDO WANATAKA JAMII NZIMA IAMINI WIMBO MBAYA
TATIZO WANAZEEKA NA BADO WANATAKA NYIMBK ZA VIJANA
Anaonekana anasogana uzuri kama wazenji wenzangu wote 100% mtamu hata mie humtaman mwenzang 🤣View attachment 2701385
Yaani nimekaa mahala unapigwa wimbo wako unaitwa "HONEY"aisee ni mbayaaaa....najua utavuma Kwa vile wabongo tuna hulka ya kupenda vitu vya hovyo hovyo.
Hivyo tu.
Kuna siku nimewaza mbona hawa wanaijeria wanatoa mangoma makali makali kila kukicha,angalia kama Rush ya Ayra haiitaji nguvu kwenda,Rema na Calm down imeenda mpka sio poa!Halafu tunalalamika Tems na Ayra Starrs kuvuka kimataifa.
😂😂pathetic
Ndo mila zetu, hakuna hata mmoja aso namna hio huku.Mlaaniwe..
Hii nchi ngumu sana kaka...Ukikosoa nyimbo utaitwa mmakonde.🙄Kuna siku nimewaza mbona hawa wanaijeria wanatoa mangoma makali makali kila kukicha,angalia kama Rush ya Ayra haiitaji nguvu kwenda,Rema na Calm down imeenda mpka sio poa!
Njoo hapa kwetu,ukikosoa huo ujinga wa akina Zuchu utaambiwa una chuki!
Ila wew bana😂😂😂😂
Mlaaniwe tena.Ndo mila zetu, hakuna hata mmoja aso namna hio huku.
Kuna kipindi wachache wasotaka wanawake wenzao wakaja Tanganyika kumuomba Rais enzi hizo Kikwete kwamba aingilie kwati maana zenji usipo saga kukoboa kazi hupati🤣🤣 laaana wallah🤣🤣
Bora hata na wewe umeona hiloKuna siku nimewaza mbona hawa wanaijeria wanatoa mangoma makali makali kila kukicha,angalia kama Rush ya Ayra haiitaji nguvu kwenda,Rema na Calm down imeenda mpka sio poa!
Njoo hapa kwetu,ukikosoa huo ujinga wa akina Zuchu utaambiwa una chuki!
nyimbo zetu mbaya sana, wanigeria wajanja wanachukua style za wazungu wanachanganya na zao, ndo mziki wa afrobeats, sasa naona wabongo wameanza kugundua ndo maana kina mondi wanaibia sana nigeria, mfano ukiangalia hii enjoy ya jux na mondi wamecopy sana nyimbo ya nigeria inaitwa who is your guyKuna siku nimewaza mbona hawa wanaijeria wanatoa mangoma makali makali kila kukicha,angalia kama Rush ya Ayra haiitaji nguvu kwenda,Rema na Calm down imeenda mpka sio poa!
Njoo hapa kwetu,ukikosoa huo ujinga wa akina Zuchu utaambiwa una chuki!
Mwanake mzenj msagaj hawachwi ng'o. Wanamme nao hupenda kusagwo hadi uwa lanyonywa 🤣🤣🤣 we dada karibu Zenj, karibu Jehanam🔥🤣🤣🤣Mlaaniwe tena.
Kama weye. Au kisa picha ya afade ram?we jinsia gani....
Wapunguze kuigaiga basi,wanatia aibunyimbo zetu mbaya sana, wanigeria wajanja wanachukua style za wazungu wanachanganya na zao, ndo mziki wa afrobeats, sasa naona wabongo wameanza kugundua ndo maana kina mondi wanaibia sana nigeria, mfano ukiangalia hii enjoy ya jux na mondi wamecopy sana nyimbo ya nigeria inaitwa who is your guy
NaamWe wa kike?