Babayake alikuwa mtangazaji RTD, Ila yeye sijui ni nani
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Babayake alikuwa mtangazaji RTD, Ila yeye sijui ni nani
Hakuwa Mtangazaji bali alikuwa Mkurugenzi mkuuw a Shirika la habari enzi hizo lina itwa SHIHATA.Babayake alikuwa mtangazaji RTD, Ila yeye sijui ni nani
Nkwabi Ng'wanakilala hajatangaza RTD, basi nshazeeka napoteza kumbukumbuHakuwa Mtangazaji bali alikuwa Mkurugenzi mkuuw a Shirika la habari enzi hizo lina itwa SHIHATA.
hakutaka kuzaa kabla ya ndoa!Hivi huyu mwanamke huwa hana Watoto?
nasubiri jibu na mimiNkwabi ni nani mkuu
Hapana hakuwa mtangazaji ,alikuwa Mkurugenzi mkuu.Nkwabi Ng'wanakilala hajatangaza RTD, basi nshazeeka napoteza kumbukumbu
Una fahamu sifa na tabia za watu wote dunia ?Yanakuaga maneno ya mkosaji, hakuna mtu asiyependa awe na mwenza pembeni, upweke sio sifa hata kidogo.
Una hakika ?HAKUNA MWANAMKE ASIYEPENDA NDOA
Ndiyo! Naamini hujafikisha hata miaka sabini. Unaweza kuolewa na kuzaa ukipenda.Kumbe na Mamndenyi aweza olewa? 😂💌
Akili ndogo hujadili watu!Yah sisi ni watu wa hovyo sana ndoa ni jambo la heri lakini ajabu comments nyingi ni za kumsema dada wa watu
Watu wengi ni "wachawi" japo hawajifahamu kuwa ni wachawi.Ni hatari sana kuishi kwenye jamii kama hii ya watu kama hawa........
Yaani mpaka nafsi yangu imepata woga jinsi ya kuwatazama watu huko barabarani........
Comments za huku zinasikitisha sana kama sio kuhudhunisha.....
Jamii inaelekea kubaya sana kama sio imeshaelekea kubaya.......
Hizi roho ndio zipo mitaani tunamoishi na maofisini tunakotafutia ridhiki....ni hatari sana.....
Jamii imejaa majungu, chuki, fitina, umbea na roho mbaya mpaka unashangaa huyu aliyeandika hapa ni binadamu au ni shetani........!!!
Hii mitandao ya kijamii na fake I'ds zinatufunilia sana uhalisia wa namna Gani jamii zetu Zina watu wenye roho mbaya mithili ya nyoka mwenye sumu kali.........
Yaani mtu humjui na wala hakujui, kaamua kuachana na njia mbaya na kufanya jambo la kheri lakini bado watu baada ya kumtakia kheri wanamuombea mabaya........
Wengine wanasema kuchelewa, wengine wanasema hatazaa tena, wengine utasikia alikuwa msagaji, wengine kaolewa kuondoa aibu, wengine utasikia kijana kafuata fedha yaani ili mradi majungu , fitina na kushindwa kuificha roho mbaya.......tunaenda wapi wanadamu.........
Sentensi ndogo tu ya kumtakia mtu kheri inakushinda mtu mpaka unalaani kana kwamba mtu mna ugomvi naye..........
Ndio maana miaka ya kuishi imepungua sana....mizigo ya chuki ,majungu, roho mbaya, na fitina tuliyoibeba vifuani mwetu vinatuangamiza sana......yaani mtu unaumia kwa neema au baraka za kiumbe mwenzio mpaka unalaani.....???
Makafiri bana....Sijui kwanini mavazi ya harusi ya waislamu huwa hayawapendezi.
Wanapoenda marangirangi na vimeremetaSijui kwanini mavazi ya harusi ya waislamu huwa hayawapendezi.
SureKtk maisha hakuna issue ya kuchelewa as long as ukitambua ww sio unae AMUA only God knows your destination
Ameolewa late lkn pengi e hakupanga yy
Mwanamke yoyote ambae hajazaa hachoki haraka,Zuhura habadiliki....enzi hizo kanaandaa matamasha
Anakusisitiza mnunue ticket
Ova
Sawa sawa mtaalamMwanamke yoyote ambae hajazaa hachoki haraka,