Ngisibara
JF-Expert Member
- Jan 2, 2009
- 3,387
- 2,245
Stroke za kisukuma ataweza au tumjulie hali mgonjwa?Wasukuma tumevuta toto la Kizanzibari
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Stroke za kisukuma ataweza au tumjulie hali mgonjwa?Wasukuma tumevuta toto la Kizanzibari
Ndoa haihitaji hela ila harusi sawa,ndoa ndiyo jambo la msingi chagua wiselyNa yangu nitatangaza ili mnichangie...harusi tunataka ila hela hakuna[emoji17]
Na unawaridhisha iliKuwaridhisha binadamu ni kazi jamani....
Sio kweli wapo wanawake kibao tu wanabadili dini ,ofc mate wangu kaoa muislamu na sasa ni mkristoJamaa kabadili dini, ni mara chache kukuta mwanamke wa kiislamu anabadili dini sababu ya kuolewa na mwanaume mkristo, ila wala swine hawaonagi shida kubadili dini. Kwetu mwanamume kubadili dini eti kufuata dini ya mwanamke ni ufala, na utadhauriwa hadi kaburini!
Hahaa wala swine mbona hiyo swine sku iz hata nyie mnakula sana tuJamaa kabadili dini, ni mara chache kukuta mwanamke wa kiislamu anabadili dini sababu ya kuolewa na mwanaume mkristo, ila wala swine hawaonagi shida kubadili dini. Kwetu mwanamume kubadili dini eti kufuata dini ya mwanamke ni ufala, na utadhauriwa hadi kaburini!
Kanunga ni nini Mkuu?Kumbe alikuwa kanunga!
Zuhura nilikuwa nakupenda mimi umeolewa na mtu mwingine?Mkurugenzi wa mawasiliano ya Rais, Zuhura Yunus amefunga ndoa na Bw. Fumbuka Nkwabi Ng’wanakilala.
Ndoa hiyo ilifungwa siku ya Alhamisi jijini Dar es salaam katika msikiti wa Maamur, Upanga.
View attachment 2463819
Kwani unadhani wanavaa kwa ajili ya urembo au kumfurahisha kafiri,Muhimu Mola wangu anafurahia wanavyojisitiri inatosha sana,na hata kitabu chao hakina version ili kipendwe na wanadam.Sijui kwanini mavazi ya harusi ya waislamu huwa hayawapendezi.
SjaelewaHakuna ndoa hapo... Ni funiko la Sudani ya kusini....soma who is Ng'wanakilala at SAUT and Southern Sudan rebelation forces.
The death of Garang by airplane crash?
Namfahamu huyo jamaa kama Mwanahabari Mkazi wa Reuters.Hakuna ndoa hapo... Ni funiko la Sudani ya kusini....soma who is Ng'wanakilala at SAUT and Southern Sudan rebelation forces.
The death of Garang by airplane crash?
Bado anapata hedhi?From Wikipedia View attachment 2471992