Zuhura Yunus aolewa na Fumbuka Ng’wanakilala

Yah sisi ni watu wa hovyo sana ndoa ni jambo la heri lakini ajabu comments nyingi ni za kumsema dada wa watu
Akili ndogo hujadili watu!

Akili ya kati hujadili matukio!

Akili kubwa hujadili "ideas"

Nafikiri umeshajua sababu.
 
Watu wengi ni "wachawi" japo hawajifahamu kuwa ni wachawi.
 
Zuhura habadiliki....enzi hizo kanaandaa matamasha
Anakusisitiza mnunue ticket

Ova
 
Sikuwa nafahamu kuwa Zuhura Yunus kaolewa. Nimefahamu leo nilipokuwa nikiisikiliza clip ya Makongoro Nyerere.

Nimefurahi kusikia hilo. Hongera zao.
 
Nimeshangazwa na kusikitishwa na comments za baadhi ya wachangiaji kwenye huu uzi. Sijui kama ni chuki, wivu, ubinafsi au utoto!

Kuna waliocomment kwa kukejeli!

Wengine wameonekana kama wamekasirika!

Lakini kuna wachache waliofurahi kufahamu kuwa Zuhura kapata mume.

Nini kilichowakwaza waliokasirika?

Hawakutaka Zuhura aolewe?

Ikiwa Zuhura kaona ni jambo jema, na ndugu zake wakaridhia, na wanaomtakianmema wakafurahia, na yumkini hata mama Samia naye alifurahia, hao wanaomkejeli wanamtakia nini?

Wanajua kumzidi Zuhura Yunusu?

Zuhura ni mtu mzima na mwelewa. Yeye ndiye anayefahamu kilicho bora kwake. Aachwe aifurahie ndoa yake kwa kadiri awezavyo.

Hajavunja Sheria za nchi wala za imani yake wala ya familia yake. Ni haki yake! Ni maisha yake! Aachwe ayafurahie.
 
Kwenye maisha, usihangaike wala kuzingatia sana walimwengu, hawana jema.

Watu wana asili ya roho mbaya, hata yule anaeonekana anakuchekea, usishangae hali haiko hivyo moyoni, si kila mtu anafurahia mafanikio yako.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…