Zuhura Yunus aolewa na Fumbuka Ng’wanakilala

Zuhura Yunus aolewa na Fumbuka Ng’wanakilala

Asante mkuu umemaliza wanaotaka CV hio hapo
 
Hii picha ni NKWABI akiwa kashika msalaba ktk mazishi ya baba yake mzazi mzee FUMBUKA NG'WANAKILALA. Inamaa na kijana NKWABI kabadili dili kwa ajili ya kumuoa huyo bibi au basi!!View attachment 2464379

Kwa miaka yote sikuwahi tambua kwamba Mzee Nkwabi alikua mkristo. Tumeishi nao Oysterbay ,wao waliishia Hill road ( Now Yesser Arafat st), kabla ya kuhamia Botswana ,ambapo waliishia nyumba mbayo baadae alihamia Mzee Liundi ambayo ipo jirani na nyumba aliyo ishi Mzee Apson.
Fumbuka ni mwislamu ziku zote , ninajua hivyo saabu tume kua wote OBay , hivyo namjua na kama baba yao alikua Mkristo basi watoto walifuata dini ya mama yao ambayo ni ya Kiislamu na mama yao ni Mzanzibari.
Kwahiyo Fumbuka sio marioo , ni mtoto wa kishua , aliye okea ushuani .
 

Asante!
 
Kwa miaka yote sikuwahi tambua kwamba Mzee Nkwabi alikua mkristo. Tumeishi nao Oysterbay ,wao waliishia Hill road ( Now Yesser Arafat st), kabla ya kuhamia Botswana ,ambapo waliishia nyumba mbayo baadae alihamia Mzee Liundi ambayo ipo jirani na nyumba aliyo ishi Mzee Apson.
Fumbuka ni mwislamu ziku zote , ninajua hivyo saabu tume kua wote OBay , hivyo namjua na kama baba yao alikua Mkristo basi watoto walifuata dini ya mama yao ambayo ni ya Kiislamu na mama yao ni Mzanzibari.
Kwahiyo Fumbuka sio marioo , ni mtoto wa kishua , aliye okea ushuani .

Kwamba ukiwa mtoto wa kishua huwezi kuwa Marioo?
 
Hii ndio Taarifa ya sasa mitandaoni , kwamba Msemaji wa Ikulu ya Tanzania , ambaye pia ni Mtangazaji wa zamani wa BBC , Zuhura Yunus , amefunga pingu za maisha na ndugu Fumbuka Nkwabi Mwanakilala .

Namfahamu Fumbuka , maana niliwahi kusoma naye mahali fulani , ni mtu poa sana na ni Mtulivu .

Tunawatakia Wanandoa hawa wapya kila la heri .
What do you mean by utulivu. Hujui ya kwamba sisi watulivu ndio wachakata mbususu barabara.
 
Waislam wakifunga ndoa huwa wanakuwa na mikwara mizito kweli kweli! Ni kawaida kumkuta bwana harusi ameweka kiunoni bisu kubwa aina ya jambia!

Sijui ndiyo wanawaiga ndugu zao Waarabu!!
Hii alias name yako inanikumbusha rafiki yangu Robert Tate, director wa michezo shule ya IST, Masaki kipindi hicho nacheza touch rugby pale.

Sema hata mimi huwa hayanivutii, binafsi napenda sana yale mavazi ya ndugu zetu wa Afrika Magharibi nayahusudu sana. No hard feelings just maoni na kile napenda. Nadhani yale ndiyo yanapaswa kuwa standard code ya waafrika wote. Bado kwangu suti pia ni the best option to go universally.
 
Na sisi huku Kagera tuna majina ya akina Fumbuka. Kweli majina ya kibantu tunaingiliana.
Sema wabongo ni ma hater kinoma. Unapata aina ya roho za watz kwa kusoma comments.
Miroho mibaya kama mangozi yetu ya kinyaninyani🐒

😀😀😀
 
Back
Top Bottom