Ravalomanana
JF-Expert Member
- Sep 8, 2018
- 1,557
- 1,540
Wabongo kwa kuamini mambo ya kusikia hamjamboKweli kabisa naskia walimtaftia ili aondoe aibu ila maji yalishamkataa kabisa angejikuta yuko nchi kavu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wabongo kwa kuamini mambo ya kusikia hamjamboKweli kabisa naskia walimtaftia ili aondoe aibu ila maji yalishamkataa kabisa angejikuta yuko nchi kavu
Mkurugenzi wa mawasiliano ya Rais, Zuhura Yunus amefunga ndoa na Bw. Fumbuka Nkwabi Ng’wanakilala.
Ndoa hiyo ilifungwa siku ya Alhamisi jijini Dar es salaam katika msikiti wa Maamur, Upanga.
View attachment 2463819
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]Waislam wakifunga ndoa huwa wanakuwa na mikwara mizito kweli kweli! Ni kawaida kumkuta bwana harusi ameweka kiunoni bisu kubwa aina ya jambia!
Sijui ndiyo wanawaiga ndugu zao Waarabu!!
Hampendezi mnakuwa kama majini mnatisha.Subiri dada zako waolewe ndio watapendeza zidi kuwaombea wasizeekee nyumbani
Namkubali sana huyu mazaMkurugenzi wa mawasiliano ya Rais, Zuhura Yunus amefunga ndoa na Bw. Fumbuka Nkwabi Ng’wanakilala.
Ndoa hiyo ilifungwa siku ya Alhamisi jijini Dar es salaam katika msikiti wa Maamur, Upanga.
View attachment 2463819
Kwaiyo katafutiwa mume au walikutana love connect ?Huyu kaolewa tu kufunika kombe na nafasi ya kazi aliyopo hii ni kwa waliosomea Cuba.
HAHAWasukuma tumevuta toto la Kizanzibari
wacheni kuchafua majina ya watu kwa kuwazushia mambo ambayo hamuna uthibitisho wake.nasikia huyu dada ni "ntu" wa michezo ya upinde wa mvua.
Eh bisu tena! sasa wewe inakukera nini kubeba hilo bisu? Na wewe beba jembe kwenye harusi yako. Mbona wahaya wanakuja na majani ya migomba na fimbo sijui na mazagazagga gani pale harusini na hamusemi neno>bisu kubwa aina ya jambia!
mmh kwa mawazo haya kazi ikoANAFAA KUMRITHI #SSH 2030.GENDER EQUALITY TUMEKUWA NA MARAIS WA KIUME 5,SASA TUWE NA WAKIKE 5.
IslamophobiaSijui kwanini mavazi ya harusi ya waislamu huwa hayawapendezi.
Shemeji yenu NKWABIMkurugenzi wa mawasiliano ya Rais, Zuhura Yunus amefunga ndoa na Bw. Fumbuka Nkwabi Ng’wanakilala.
Ndoa hiyo ilifungwa siku ya Alhamisi jijini Dar es salaam katika msikiti wa Maamur, Upanga.
View attachment 2463819