Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Umenifanya nicheke ingawa comment yako inaskitisha...Why pesa hakuna nini shida mama..!!Na yangu nitatangaza ili mnichangie...harusi tunataka ila hela hakuna😔
Yaan acha tu mkuu!Umenifanya nicheke ingawa comment yako inaskitisha...Why pesa hakuna nini shida mama..!!
[emoji1787][emoji1787][emoji1787] tateWaislam wakifunga ndoa huwa wanakuwa na mikwara mizito kweli kweli! Ni kawaida kumkuta bwana harusi ameweka kiunoni bisu kubwa aina ya jambia!
Sijui ndiyo wanawaiga ndugu zao Waarabu!!
Ravalo vip hiyo avatarUlijuaje kua hapendi kuolewa pengine alisema vile ili muache kiherehere cha kumuuliza kisaikolojia nilikua namuona asivyopenda kuulizwa hilo swali
Kumbe, basi bila shaka baada ya kupewa kazi ofisi ile vikao vikawa vikali mpaka mwenyewe akasalimu amri.Yeye mwenyewe alishasema kwenye media kuwa hataki kuolewa wala kuzaa
hahahahahahahah, tukiachana na mambo ya yanga hua unafurahisha mkuuWaislam wakifunga ndoa huwa wanakuwa na mikwara mizito kweli kweli! Ni kawaida kumkuta bwana harusi ameweka kiunoni bisu kubwa aina ya jambia!
Sijui ndiyo wanawaiga ndugu zao Waarabu!!
Dah [emoji23][emoji23][emoji23]Eh bisu tena! sasa wewe inakukera nini kubeba hilo bisu? Na wewe beba jembe kwenye harusi yako. Mbona wahaya wanakuja na majani ya migomba na fimbo sijui na mazagazagga gani pale harusini na hamusemi neno>
ana miaka mingapi?Umri umeenda
kwa naoni yakoSijui kwanini mavazi ya harusi ya waislamu huwa hayawapendezi.
ngulumbiliHao ndo binadam bwana,alivokua hajaolewa wanamsema kua haoelew,now kaolewa et kaolewa kufunika kombe. Kaz kwel kwel
Yanini ujisumbue kuwaridhisha?!!! We fanya yako uende.Kuwaridhisha binadamu ni kazi jamani....
Wanaume huvaa mavazi ya jangwani!Sijui kwanini mavazi ya harusi ya waislamu huwa hayawapendezi.