Ameshuka. Lambda kwenye kula hela ndio amepanda.Naibu Katibu Mkuu wa Wizara ni cheo Kikubwa kuliko Mkurugenzi-ki msingi amepanda cheo.
Katibu Mkuu>>Naibu Katibu Mkuu>>>Mkurugenzi>>>>Mkurugenzi Msaidizi.
Hata mpishi ikulu ni mkubwa kukiko waziriMkurugenzi Ikulu ni nafasi kubwa sana
Ahaa labda kama anakwenda wilayani kupikaKwa logic yako hata mpishi wa ikulu akiteuliwa kuwa Mkuu wa Wilaya utasema kashushwa cheo kisa katolewa Ikulu na kupelekwa wilayani
Mpishi wa Ikulu ana body guard 🐼Hata mpishi ikulu ni mkubwa kukiko waziri
Ifike mahali ujue watu wana priority tofauti. Mtu amekaa nje muda mrefu sana, anataka kuja nyumbani. Asingeondoka kama hakuwa na mpango wa kurudi nyumbani, nyumbani hakukwepeki, either urudi mzima au kwenye jenezaHalafu ogopa sana Mwanasiasa akijifanya Anakupenda kwani huenda akawa anataka kukuleta Karibu yake ili akusome, akujue, ajiridhishe kwa anayoyasikia na akutumie kwa Maslahi yake kisha akishajua ameshakuweza pande zote anakutupa kidogo ili usiumie kisha baada ya Miezi 6 au 9 ijayo na hata mwaka anakutupa mazima na urejee Kwenu ( kwa Wazazi wako ) Mbezi Beach Corner Bar jirani na Nyumba ya Mtoto wa aliyekuwa Meya wa Kinondoni Mzee Londa aitwae Haji Londa na muanze sasa kupiga nae Majungu.
Kudadadeki Kwishnei.....!
Lucas Mwashambwa njoo umsaidie Jada mwenzio hukuKuna Rais Barani Afrika anataka Kuniteua, hivyo ninataka kujua kati ya hivi Vyeo viwili kipi Kitanifaa na kipi Kitanishusha?
Mawasiliano ikulu itakushusha.Kuna Rais Barani Afrika anataka Kuniteua, hivyo ninataka kujua kati ya hivi Vyeo viwili kipi Kitanifaa na kipi Kitanishusha?
Sawa kwahiyo hiki Cheo chako Kipya na Unaibu Katibu Mkuu umekikubali kabisa na Utakitendekea haki ili Usitumbuliwe tena?Ifike mahali ujue watu wana priority tofauti. Mtu amekaa nje muda mrefu sana, anataka kuja nyumbani. Asingeondoka kama hakuwa na mpango wa kurudi nyumbani, nyumbani hakukwepeki, either urudi mzima au kwenye jeneza